PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

naipenda sana hii hali ya hewa, napenda sana baridi, kwa sisi tunajua kuvaa tunavaa nguo unayojskia unapendeza haswaaaa, maana baridi inachangia mtu kuvaa vizuri
Well well well. Well said
 
Katika zunguka yangu sehemu mbali mbali za Tanzania (mikoa 20) kwangu namba moja ni Makambako sababu baridi yake inaongezwa kasi na upepo. Hata uvae nini kibaridi kitapenya tu ikifuatiwa na Makete. Sehemu nyingine nazoziheshimu ni Forest Marangu, Mafinga sehemu za Mapanda, Ngorongoro na Mbeya.
 
Mama weeeeeee!
Mie Arusha ni kwetu ila sipapendei hilo baridi tu.
Poleni.
 
Mwezi ujao mwishoni malimao ndimu mbilimbi ubuyu na udongo vitapanda bei
Baridi ikiwa kali sanaaaa.... hata utaratibu unasinyaaa kuliko hata saiz yake ya kawaida kulinda joto la asili kule kwenye eneo husika, kwa hio hata uwo mchezo hunakuwa huna ham nao kivileee.
 
Yaani baridi ni kali kichizi, lakini kila mtu kavaa kuikabili yuko busy na shughuli zake, wale kina mama wa sokoni wamefunga mashuka kichwa kizima na majaketi ya nguvu wanapiga kazi kinoma, sipati picha kama Arusha ingekuwa ndio uzaromuni wazaramo kipindi cha baridi sidhani kama kuna shughuli ingefanyika
Ingekuwa ni kumichana tuu siku nzima..
 
Njombe mjini nilikuwa huko wiki iliyopita , nikaenda hadi tukuyu kisha sumbawanga ..njombe baridi yke ni ya kawaida tu ...makete sijawahi fika ...makambako kuna baridi Kali kuliko njombe ...usifikiri nimeandika kwa kubahatisha

Makete ni noma asikwambie mtu...kuna sehemu inaitwa Kikondo na Kitulo, sometimes nyuzi 0, 1, 2, 3 ni kawaida kabisa!
 
Kwani Tanzania ni Arusha pekee?
Je gari zenye number za Tanzania haziwezi kwenda Kenya mfano?
Think globally mkuu...!
Sikujua kuwa Jiographia ya Kenya inafanana na nchi za Ulaya na Asia! angalia tena nilireply kwenye comment ambayo ilikuwa na ujumbe upi!
 
Njombe mitaa ya Nazareth,hagafilo nlikua namaliza magunia ya mikaa kwa kuota moto #Mbaranga haziepukiki ayo maeneo...
 
Back
Top Bottom