hahaha mkuu we ni wa ukuBaridi ya Yesu.
alafu Makete na Njombe usemajeBaridi iliyoko mby , mafinga ni hakunaga aisee
We jidanganye kuna barid zingine hata kuvaa huelew uvae nini? Hujawah kutana na barid binti labda vibaridnaipenda sana hii hali ya hewa, napenda sana baridi, kwa sisi tunajua kuvaa tunavaa nguo unayojskia unapendeza haswaaaa, maana baridi inachangia mtu kuvaa vizuri
yes hili venge nalisororea haswaa.hahaha mkuu we ni wa uku
Hiyo picha ya Theruji si ya arusha acha uongo na mimi niliipost jana kwanza kwa baridi ya nyuzi joto 11c haiwezi kusababisha theruji.
Utakuwa unaishi ukanda wa Pwani,Na hiki kibaridi kikakuchanganya kabisa...naipenda sana hii hali ya hewa, napenda sana baridi, kwa sisi tunajua kuvaa tunavaa nguo unayojskia unapendeza haswaaaa, maana baridi inachangia mtu kuvaa vizuri