Hiyo baridi huwa inafika nyuzi joto ngap huko?Tanzania hamna sehemu yenye baridi kali kuzidi Makete na Njombe
Tuache wenyewe ndio maana Mola ametupendelea hatuna baridi, unataka tushinde sokoni na mkole acheze nani?Yaani baridi ni kali kichizi, lakini kila mtu kavaa kuikabili yuko busy na shughuli zake, wale kina mama wa sokoni wamefunga mashuka kichwa kizima na majaketi ya nguvu wanapiga kazi kinoma, sipati picha kama Arusha ingekuwa ndio uzaromuni wazaramo kipindi cha baridi sidhani kama kuna shughuli ingefanyika
Yaani baridi ni kali kichizi, lakini kila mtu kavaa kuikabili yuko busy na shughuli zake, wale kina mama wa sokoni wamefunga mashuka kichwa kizima na majaketi ya nguvu wanapiga kazi kinoma, sipati picha kama Arusha ingekuwa ndio uzaromuni wazaramo kipindi cha baridi sidhani kama kuna shughuli ingefanyika
Na idumu, ili watembea uchi wakome.naipenda sana hii hali ya hewa, napenda sana baridi, kwa sisi tunajua kuvaa tunavaa nguo unayojskia unapendeza haswaaaa, maana baridi inachangia mtu kuvaa vizuri
Sina uhakika hiyo picha imepigwa wap lakini arusha barabara ya kwenda namanga kuna sehemu inaitwa lengijave ni kawaida sana kutengeneza ice namna hiyo kipindi kama hiki cha baridiHiyo picha ya Theruji si ya arusha acha uongo na mimi niliipost jana kwanza kwa baridi ya nyuzi joto 11c haiwezi kusababisha theruji.
Cha ajabu wakuja wote wananunua viwanja Uzaramuni na kututusi wenyeji wao.Yaani baridi ni kali kichizi, lakini kila mtu kavaa kuikabili yuko busy na shughuli zake, wale kina mama wa sokoni wamefunga mashuka kichwa kizima na majaketi ya nguvu wanapiga kazi kinoma, sipati picha kama Arusha ingekuwa ndio uzaromuni wazaramo kipindi cha baridi sidhani kama kuna shughuli ingefanyika
Hahaaah, wangelima hayo mashamba kusingekuwa na VIWANJA vya kuuzia wakuja, .Cha ajabu wakuja wote wananunua viwanja Uzaramuni na kututusi wenyeji wao.
Haahaa, chezeni kwa faida bana, sasa nyie mnaburudisha bure?! Halafu mnaendelea kushindia mihogo, kipaji hicho kitumieni vyema.Tuache wenyewe ndio maana Mola ametupendelea hatuna baridi, unataka tushinde sokoni na mkole acheze nani?
Haahaa, chezeni kwa faida bana, sasa nyie mnaburudisha bure?! Halafu mnaendelea kushindia mihogo, kipaji hicho kitumieni vyema.
Faida si watoto wetu wanajua kupika, kutunza mume, na kulea familia. Si hao wakwenu mke akipika mchuzi limao liko upande wake, chumvi kwake. Tunaendeleza jadi.Haahaa, chezeni kwa faida bana, sasa nyie mnaburudisha bure?! Halafu mnaendelea kushindia mihogo, kipaji hicho kitumieni vyema.
chipsKwani mihogo sio chakula? Nyinyi kwenu mnashindia nini ?
Kila kitu wanajifunza shule, au umesahau kuna vyuo vya kufundishana kupika?!Faida si watoto wetu wanajua kupika, kutunza mume, na kulea familia. Si hao wakwenu mke akipika mchuzi limao liko upande wake, chumvi kwake. Tunaendeleza jadi.
Huko shule ndiko mkafundishwa kupika na mengineyo, huyo anaekufundisha kupika shule mwenyewe ndoa imemshinda.Kila kitu wanajifunza shule, au umesahau kuna vyuo vya kufundishana kupika?!
Sasa mihogo na chips chakula chenye afya ni kipi? Si ndio maana mkija mjini twafanza kula mihogo na pilipili mpate nguvu kidogo.chips