chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,506
Ndo maana kila siku naomba Mungu kila siku huu ugonjwa usienee hapa Tanzania kwasababu ndani siku mbili tutawazidi italia.
Safi sana kumbe level seat inawezekana hata bila tishio la corona!!!!! natamani utaratibu huu uendelee hivihivi hata baada ya janga la corona kwisha. Mbona kenya iko hivo, sisi tunakwama wapi.?Katika harakati hizi za kukabiliana na gonjwa la Corona tulionywa na mamlaka ya nchi juu ya kujilinda ikiwa ni pamoja na kukaa mbali kati ya mtu na mtu (social distance).
Pia mamlaka kama SUMATRA walitoa angalizo Kwenye vyombo vyote vya usafiri abiria wote wakae Kwenye viti na asiwepo mtu wa kusimama na kushikilia bomba lakini cha kushangaza na kusikitisha bado kuna baadhi ya waendesha daladala wameendelea kukaidi.
Daladala nyingi za Buza - Chamazi, Kongowe na Vikindu wamebuni njia rahisi ya kuchonga mabenchi madogo yenye urefu wa futi 1.5 ambapo huwekwa Kati ili kufidia abiria waliokuwa wanasimama kabla ya kupigwa marufuku.
Watu wa Usalama Barabarani waangalie hili TATIZO Kwenye daladala maana makondakta wameshajiongeza Kwa kufanya jeuri tena
View attachment 1408618View attachment 1408619
Wapo ambao wamechomelra kabisa viti hiyo corido yote. Viti vya kukunjua hivyo unakuta ana abiria kama sita wanakaa.Katika harakati hizi za kukabiliana na gonjwa la Corona tulionywa na mamlaka ya nchi juu ya kujilinda ikiwa ni pamoja na kukaa mbali kati ya mtu na mtu (social distance).
Pia mamlaka kama SUMATRA walitoa angalizo Kwenye vyombo vyote vya usafiri abiria wote wakae Kwenye viti na asiwepo mtu wa kusimama na kushikilia bomba lakini cha kushangaza na kusikitisha bado kuna baadhi ya waendesha daladala wameendelea kukaidi.
Daladala nyingi za Buza - Chamazi, Kongowe na Vikindu wamebuni njia rahisi ya kuchonga mabenchi madogo yenye urefu wa futi 1.5 ambapo huwekwa Kati ili kufidia abiria waliokuwa wanasimama kabla ya kupigwa marufuku.
Watu wa Usalama Barabarani waangalie hili TATIZO Kwenye daladala maana makondakta wameshajiongeza Kwa kufanya jeuri tena
View attachment 1408618View attachment 1408619
Wakikaa kwenye siti hamna kugusana? Lengo la kuzuia watu kusimama ni kwamba sehemu ya kusimama watu sita watasimama watu 30. Kwa siti hizo wala sioni tatizo la ugonjwa kuenea, ishu hapo ni siti sio salama ikitokea imefungwa breki ghafla mnaweza jikuta kwenye kioo cha dereva.Muafrica anahitaji fimbo kuelewa sio elimu
Yaan walichofanya ni kama vile wameambiwa Corona inaenea kwa kusimama kwenye gari sio msongamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Abitia aliyesimama akipiga chafya anachafua basi zima ilhali yule aliyekaa anachafua majirani zake tuMuafrica anahitaji fimbo kuelewa sio elimu
Yaan walichofanya ni kama vile wameambiwa Corona inaenea kwa kusimama kwenye gari sio msongamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wanaoendaga KIVUKONI Ferry wanakalia ndoo za kubebea samakiApo amecheza kama pelle makonda wengine wanawambia abiria wachuchumae
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyoonekana hawajajua tatizo.
Kwamba wabanane wakiwa wamekaa. Basi sawa
Usionyeshe upoyoyo wako hadharani namna hii basi. Mpaka anayesoma anaona aibu kama ndiye aliyeandika ujinga kama huu!
Hakuna tusi lolote ndugu. Upoyoyo = kutojua kitu ambacho ulitakiwa kukijua. Ukisoma na kumaliza shule ya msingi lakini hujui kusoma na kuandika unaitwa upoyoyo.Matusi yanakujaje hapa!!? Mbona yalikuwa ni maoni yangu tu!?
matusi kila mtu anaweza ila hapa si mahala pake"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichofanywa ni kupunguza Msongamano sio kuongezaMuafrica anahitaji fimbo kuelewa sio elimu
Yaan walichofanya ni kama vile wameambiwa Corona inaenea kwa kusimama kwenye gari sio msongamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni upumbavu and its nota acceptable.Katika harakati hizi za kukabiliana na gonjwa la Corona tulionywa na mamlaka ya nchi juu ya kujilinda ikiwa ni pamoja na kukaa mbali kati ya mtu na mtu (social distance).
Pia mamlaka kama SUMATRA walitoa angalizo Kwenye vyombo vyote vya usafiri abiria wote wakae Kwenye viti na asiwepo mtu wa kusimama na kushikilia bomba lakini cha kushangaza na kusikitisha bado kuna baadhi ya waendesha daladala wameendelea kukaidi.
Daladala nyingi za Buza - Chamazi, Kongowe na Vikindu wamebuni njia rahisi ya kuchonga mabenchi madogo yenye urefu wa futi 1.5 ambapo huwekwa Kati ili kufidia abiria waliokuwa wanasimama kabla ya kupigwa marufuku.
Watu wa Usalama Barabarani waangalie hili TATIZO Kwenye daladala maana makondakta wameshajiongeza Kwa kufanya jeuri tena
View attachment 1408618View attachment 1408619
Bora waliochomelea kuliko hawa .Safi kabisa Wengine wamechomelea vya Chuma
Hii system iendelee hivi hivi Ni mfumo mzuri kwa afya ya akili, Una feel Safe, unakua huru kiakili na kimwili
Ni Swala la Madon kuongeza Magari
Namba ya hiyo gari ninayo MKUU na huu mchezo nimeambiwa umeenea Kwenye Mabasi mengi ya huku Chamazi,mbande na kiseweHuu ni upumbavu and its nota acceptable.
Hivyo viti ni hatari sana . Kwa sababu ni mobile.
Matrafiki wako wapi??
Daaah Haya bwanaHuu ni upumbavu and its nota acceptable.
Hivyo viti ni hatari sana . Kwa sababu ni mobile.
Matrafiki wako wapi??
Shida zaidi inakuja pale unapotaka kushuka itakubidi ushike Kwa mikono Hilo benchi ndipo upite vizuriKuruhusu hiyo ni ujinga wa hali ya juu. Hiyo siyo ""level seat".
Hiyo inaitwa level seat premier pro.
Dereva akipita kwenye tuta unadunda na kastuli kako, saafi.