Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 181
- 325
Habari za asubuhi,
Kiukweli leo asubuhi tar 20/3/2024 nilitoka Mabibo kuelekea Muhimbili kwa usafiri wa daladala, tulipofika hapa Kigogo Roundabout ya Ilala na Magomeni, kuna mwanafunzi alishuka ni mdogo miaka kama 6 au 7 alimpa kondaka nadhani miaka 500/=. Kumbe makondakta wanataka uingie ukiwa na miambili kamili. Yule kondakta akamwambia huwa tunawaambia muwe na chenji kamili akagoma kumrudishia
Kelele kale katoto ni kabinti kamemlilia konda, jamaa akaingia kwenye gari dereva naye haraka amewasha gari na kuondoka. Tulipiga kelele na kumlaumu kondakta asimamishe akate nauli zetu ikawa hakuna namna
Binafsi ingelikuwa ni mtu mzima kwangu haikuwa shida sana ila kwa mwanafunzi tena Binti mdogo nadhani darasa la kwanza nimeumia sana
Gari ni ya Mabibo to Muhimbili na nimepga picha namba ya gari hapo chini na nipo tayari kwa ushahidi kama watagoma.
Kiukweli leo asubuhi tar 20/3/2024 nilitoka Mabibo kuelekea Muhimbili kwa usafiri wa daladala, tulipofika hapa Kigogo Roundabout ya Ilala na Magomeni, kuna mwanafunzi alishuka ni mdogo miaka kama 6 au 7 alimpa kondaka nadhani miaka 500/=. Kumbe makondakta wanataka uingie ukiwa na miambili kamili. Yule kondakta akamwambia huwa tunawaambia muwe na chenji kamili akagoma kumrudishia
Kelele kale katoto ni kabinti kamemlilia konda, jamaa akaingia kwenye gari dereva naye haraka amewasha gari na kuondoka. Tulipiga kelele na kumlaumu kondakta asimamishe akate nauli zetu ikawa hakuna namna
Binafsi ingelikuwa ni mtu mzima kwangu haikuwa shida sana ila kwa mwanafunzi tena Binti mdogo nadhani darasa la kwanza nimeumia sana
Gari ni ya Mabibo to Muhimbili na nimepga picha namba ya gari hapo chini na nipo tayari kwa ushahidi kama watagoma.