Picha: Angalia jinsi daladala wanavyojiongeza na level seats

PureView zeiss

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
8,915
29,286
Katika harakati hizi za kukabiliana na gonjwa la Corona tulionywa na mamlaka ya nchi juu ya kujilinda ikiwa ni pamoja na kukaa mbali kati ya mtu na mtu (social distance).

Pia mamlaka kama SUMATRA walitoa angalizo Kwenye vyombo vyote vya usafiri abiria wote wakae Kwenye viti na asiwepo mtu wa kusimama na kushikilia bomba lakini cha kushangaza na kusikitisha bado kuna baadhi ya waendesha daladala wameendelea kukaidi.

Daladala nyingi za Buza - Chamazi, Kongowe na Vikindu wamebuni njia rahisi ya kuchonga mabenchi madogo yenye urefu wa futi 1.5 ambapo huwekwa Kati ili kufidia abiria waliokuwa wanasimama kabla ya kupigwa marufuku.

Watu wa Usalama Barabarani waangalie hili TATIZO Kwenye daladala maana makondakta wameshajiongeza Kwa kufanya jeuri tena

IMG_20200404_134704.jpg
IMG_20200404_134732.jpg
 
Mkuu ww ndo hujatafakari vzr kuhusu kauli ya serekali kwa daladala, ni hivii... Ile seat ya nyuma huwa wanakaa watu 5. ( Haijakatazwa) sasa kuna ubaya gani hizi seati nyingine zikiunganisha katikati na watu waka kaa watano!!?

Kama ingekuwa shida ni msongamano hata seat inayokaliwa na watu wawili bado watakuwa wamebanana!

Ukiangalia nafasi inayotakiwa kuachwa kati ya mtu na mtu kwa ( kujikinga na corona) kwa gari kama coaster labda wangepanda abiria 9 tu na dereva awe wa 10.

Waendesha daladala wameji0ngeza vzr!
Muafrica anahitaji fimbo kuelewa sio elimu

Yaan walichofanya ni kama vile wameambiwa Corona inaenea kwa kusimama kwenye gari sio msongamano

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ww ndo hujatafakari vzr kuhusu kauli ya serekali kwa daladala, ni hivii... Ile seat ya nyuma huwa wanakaa watu 5. ( Haijakatazwa) sasa kuna ubaya gani hizi seati nyingine zikiunganisha katikati na watu waka kaa watano!!?

Kama ingekuwa shida ni msongamano hata seat inayokaliwa na watu wawili bado watakuwa wamebanana!

Ukiangalia nafasi inayotakiwa kuachwa kati ya mtu na mtu kwa ( kujikinga na corona) kwa gari kama coaster labda wangepanda abiria 9 tu na dereva awe wa 10.

Waendesha daladala wameji0ngeza vzr!

Sent using Jamii Forums mobile app
Usionyeshe upoyoyo wako hadharani namna hii basi. Mpaka anayesoma anaona aibu kama ndiye aliyeandika ujinga kama huu!
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom