Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,277
- 31,409
Sasa watu wanavyojaa vituoni ndo utachokaMuafrica anahitaji fimbo kuelewa sio elimu
Yaan walichofanya ni kama vile wameambiwa Corona inaenea kwa kusimama kwenye gari sio msongamano
Sent using Jamii Forums mobile app