Photographers' Corner

attachment.php



Nimeipenda hii kutoka National Geographic
soccer-player-sierra-leone_44378_990x742.jpg
 
@EL Toro & Eglypz mnatumia camera aina gani ni zile professional kama EOS ,SLR au ni hizi za kawaida na je kuwa mpiga picha mzuri lazima uwe na hizo camera wanazotymia ma pro ,je hivi vidigital camera vya kawaida huuzwa mpaka tsh 350,000 vinafaa kwa shughuli za kupiga picha nzuri hasa kama ni kwa ajili ya kuuza,pia nimeona wapiga picha wengi kwenye sherehe mbalimbali kama vile harusi ,graduation hupiga picha hapo hapo kwenye tukio na muda si mrefu unakuta ziko tayari je wanafanyaje, thx wakulu
 
@EL Toro & Eglypz mnatumia camera aina gani ni zile professional kama EOS ,SLR au ni hizi za kawaida na je kuwa mpiga picha mzuri lazima uwe na hizo camera wanazotymia ma pro ,je hivi vidigital camera vya kawaida huuzwa mpaka tsh 350,000 vinafaa kwa shughuli za kupiga picha nzuri hasa kama ni kwa ajili ya kuuza,pia nimeona wapiga picha wengi kwenye sherehe mbalimbali kama vile harusi ,graduation hupiga picha hapo hapo kwenye tukio na muda si mrefu unakuta ziko tayari je wanafanyaje, thx wakulu

Mkuu picha nyingi nimetumia point and shoot 10 MP camera, with manual settings. Kama unataka kupiga picha kwa ajili ya kuuza basi ni muhimu kutumia DSLR.
 
nipe taathmini hapa, nimetumia camera ya simu HTC incredible S 8 mega pix....
IMAG0297.jpg
 
_60645445_60645444.jpg


Jake Beaudoin, a US Army Private in the 82nd Airborne Division, takes cover during a controlled detonation to clear an area for a checkpoint in Zahri district of Kandahar province, southern Afghanistan​
 
nimejitambua, leo kweli baada ya kuangalia picha hizi, nimejifunza mengi mno. hongera nyingi kwa walio post picha zao humu na nimesikitika sikupita mapema kuangalia huku. I will come back one day with a big suprise BIG UP and thanks to all that contributed to this thread !!!
 
Back
Top Bottom