Peter Msigwa kurudi CHADEMA Machi 23, 2025?

Peter Msigwa kurudi CHADEMA Machi 23, 2025?

Malaya ndio wanaotangatanga, mara huyu mara yule, na wanasiasa wanachukuwa huo mfumo?
 
Aendelee kubeba picha ya mama abdul tu
 

Attachments

  • dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20~2.jpeg
    dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20~2.jpeg
    47.3 KB · Views: 33
  • dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20.jpeg
    dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20.jpeg
    151.5 KB · Views: 23
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.

Kashajitenga na CCM.

Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake?

Mwingine anayepokelewa CHADEMA ni Dr. Slaa.

Kama ikiwa hivyo, CHADEMA itakuwa imezaliwa mara ya pili. Kila la heri
View attachment 3276192
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM baada ya kutimka kutoka CHADEMA Siku ya Jumapili, Juni 30, 2024, mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho (NEC), katika kikao kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Kama atarudi CHADEMA, atakuwa hajaa huko hata mwaka mmoja.
View attachment 3276186
Mchungaji Peter Simon Msigwa

Msigwa aliikimbia CHADEMA baada ya kushindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa tofauti ya kura mbili tu, katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliofanyika Mei 29, 2024 huku akimshtumu aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kutumia mamlaka yake kuingilia mchakato wa demokrasia ndani ya chama kulazimisha watu anaowataka yeye ndo wawe washindi.
Kati ya watu wasiokuwa na akili sawa sawa ni huyo Mbena
 
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.

Kashajitenga na CCM.

Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake?

Mwingine anayepokelewa CHADEMA ni Dr. Slaa.

Kama ikiwa hivyo, CHADEMA itakuwa imezaliwa mara ya pili. Kila la heri
View attachment 3276192
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM baada ya kutimka kutoka CHADEMA Siku ya Jumapili, Juni 30, 2024, mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho (NEC), katika kikao kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Kama atarudi CHADEMA, atakuwa hajaa huko hata mwaka mmoja.
View attachment 3276186
Mchungaji Peter Simon Msigwa

Msigwa aliikimbia CHADEMA baada ya kushindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa tofauti ya kura mbili tu, katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliofanyika Mei 29, 2024 huku akimshtumu aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kutumia mamlaka yake kuingilia mchakato wa demokrasia ndani ya chama kulazimisha watu anaowataka yeye ndo wawe washindi.
Sio yeye tuu hata covid 19 nao wako mbioni
 
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.

Kashajitenga na CCM.

Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake?

Mwingine anayepokelewa CHADEMA ni Dr. Slaa.

Kama ikiwa hivyo, CHADEMA itakuwa imezaliwa mara ya pili. Kila la heri
View attachment 3276192
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM baada ya kutimka kutoka CHADEMA Siku ya Jumapili, Juni 30, 2024, mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho (NEC), katika kikao kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Kama atarudi CHADEMA, atakuwa hajaa huko hata mwaka mmoja.
View attachment 3276186
Mchungaji Peter Simon Msigwa

Msigwa aliikimbia CHADEMA baada ya kushindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa tofauti ya kura mbili tu, katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliofanyika Mei 29, 2024 huku akimshtumu aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kutumia mamlaka yake kuingilia mchakato wa demokrasia ndani ya chama kulazimisha watu anaowataka yeye ndo wawe washindi.
Kwani ni uongo kwamba Mbowe alimfanyia figisu ?
Ni bora Msigwa aliyeamua kwenda Ccm kuliko Mbowe aliyekuwa anakula keki ya ccm wakati huo huo anataka awe mwenyekiti wa chadema.
 
Uzuri msigwa alishaweka wazi hana ugomvi na chadema ila hakubaliani na mfumo wa uongozi wa Mbowe the Autocratic, anaeendesha chama kama sultan kwa zaidi ya miaka 20, huku akiwa hakubaliani na mawazo mbadala.
Sio sababu, huko ccm aliokenda sio ndio aliiponda akawaita majizi? Sasa huko ccm alikubaliana na mfumo? Mwanasiasa njaa na mnafiki tu huyu
 
Sio sababu, huko ccm aliokenda sio ndio aliiponda akawaita majizi? Sasa huko ccm alikubaliana na mfumo? Mwanasiasa njaa na mnafiki tu huyu
Punguza kuweka moyo kwenye siasa weka akili, we unaweka chuki wenzako nyuma ya pazia wanaalikana lunch
 
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.

Kashajitenga na CCM.

Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake?

Mwingine anayepokelewa CHADEMA ni Dr. Slaa.

Kama ikiwa hivyo, CHADEMA itakuwa imezaliwa mara ya pili. Kila la heri
View attachment 3276192
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM baada ya kutimka kutoka CHADEMA Siku ya Jumapili, Juni 30, 2024, mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho (NEC), katika kikao kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Kama atarudi CHADEMA, atakuwa hajaa huko hata mwaka mmoja.
View attachment 3276186
Mchungaji Peter Simon Msigwa

Msigwa aliikimbia CHADEMA baada ya kushindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa tofauti ya kura mbili tu, katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliofanyika Mei 29, 2024 huku akimshtumu aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kutumia mamlaka yake kuingilia mchakato wa demokrasia ndani ya chama kulazimisha watu anaowataka yeye ndo wawe washindi.
Msiga huko kijani alianza kwa moto, baadae kimya ghafla.

Inawezekana huko kijani walimshtukia au sijui walishindwana masharti ya Msigwa kuzunguka nchi nzima kuimba mapambio, na kwa hulka ya Msigwa labda aligoma na kutaka cheo cha moja kwa moja.
 
Huyo hafai Katika siasa za ukombozi! Katika falsafa ya vyama vya upinzani ni ukombozi dhidi ya Chama tawala sasa ikiwa mwanasiasa anahama Chama Kwa sababu ya mtu mmoja( Mbowe) anaweza kuwaongoza mamilioni ya Watanzania kukiondoa Chama tawala Chenye mfumo ya utawala kwa zaidi ya miaka60,Chenye dola,rais wa nchi na amiri jeshi mkuu? Atarudi kwa sababu ya irafiki wake na mwenyekiti Lissu and not otherwise
 
Hahaha hapo nyuma kidogo alikuwa anaonekana ni think tank wa Team Lisu, kwasababu ajenda zao na ccm zilikuwa zinafanana "Kumuondoa Mbowe CDM".

Kamaliza kazi sasa sijui nini olitafuata baada ya kuwa wamemaliza kazi.
 
Dr. Slaa arudi chadema leo 23 Machi 2024 kwenye mkutano wa hadhara jijini Mbeya.
 
Uzuri msigwa alishaweka wazi hana ugomvi na chadema ila hakubaliani na mfumo wa uongozi wa Mbowe the Autocratic, anaeendesha chama kama sultan kwa zaidi ya miaka 20, huku akiwa hakubaliani na mawazo mbadala.
Ila aliweza kwenda ccm alipokuwa hakikubali chama wala uongozi wake. Shituka mkuu.
 
Haa HaA Haiba Imepotea Sana Alienda
Huko Kufanyaje
Aandike Barua Kuomba Msamaha Halafu Ndiyo Arudi
 
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.

Kashajitenga na CCM.

Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake?

Mwingine anayepokelewa CHADEMA ni Dr. Slaa.

Kama ikiwa hivyo, CHADEMA itakuwa imezaliwa mara ya pili. Kila la heri
View attachment 3276192
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM baada ya kutimka kutoka CHADEMA Siku ya Jumapili, Juni 30, 2024, mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho (NEC), katika kikao kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Kama atarudi CHADEMA, atakuwa hajaa huko hata mwaka mmoja.
View attachment 3276186
Mchungaji Peter Simon Msigwa

Msigwa aliikimbia CHADEMA baada ya kushindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa tofauti ya kura mbili tu, katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliofanyika Mei 29, 2024 huku akimshtumu aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kutumia mamlaka yake kuingilia mchakato wa demokrasia ndani ya chama kulazimisha watu anaowataka yeye ndo wawe washindi.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama na Mgombea Urais kupitia Chadema Dr. Wilbroad Slaa amerejea Chadema na kupokelewa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu katika uwanja wa Ruanda Nzovwe, Mbeya. Leo tarehe 23 Machi 2025 Chama kinazindua Operesheni #NoReformsNoElection katika jiji la Mbeya.
IMG-20250323-WA0044.jpg
IMG-20250323-WA0042.jpg
IMG-20250323-WA0040.jpg
IMG-20250323-WA0041.jpg
IMG-20250323-WA0043.jpg
 
Back
Top Bottom