Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Ameandika kwenye ukurasa wake wa X
Hatua ya KWANZA kuhusu GEKUL ndiyo hiyo hapo 👇. Natarajia Mahakama ya Wilaya ya Babati itatimiza WAJIBU wake kwa wakati, ili Kuanzia Jumatatu tarehe 11 Disemba 2023 hatua nyingine za KISHERIA ziendelee.
Hatua hiyo nimeichukua chini ya kifungu cha 128(2) na (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (The Criminal Procedure Act).
Msishangae kuona GEKUL anashitakiwa KIJINAI bila KUIHUSISHA ofisi ya DPP. Someni kifungu cha 128(2) na (4) hapo.
===
Napenda KUISHUKURU 🙏🏻 Mahakama ya Wilaya ya Babati Kwa KUIPOKEA kwa Wakati,Malalamiko (Complaint) ya MTEJA wangu HASHIM ALLY dhidi ya PAULINE PHILIPO GEKUL.
Muda wowote kuanzia jumatatu tarehe 11 Disemba 2023, nitapeleka NYARAKA HALISI za KESI ili MAHAKAMA ianze KUSIKILIZA KESI.
Pia soma:
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Breaking News: - Rais Samia Suluhu atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama
CCM Manyara yakutana kumjadili Pauline Gekul, kutoa tamko Novemba 27, 2023
Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya
Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake
Hatua ya KWANZA kuhusu GEKUL ndiyo hiyo hapo 👇. Natarajia Mahakama ya Wilaya ya Babati itatimiza WAJIBU wake kwa wakati, ili Kuanzia Jumatatu tarehe 11 Disemba 2023 hatua nyingine za KISHERIA ziendelee.
Hatua hiyo nimeichukua chini ya kifungu cha 128(2) na (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (The Criminal Procedure Act).
Msishangae kuona GEKUL anashitakiwa KIJINAI bila KUIHUSISHA ofisi ya DPP. Someni kifungu cha 128(2) na (4) hapo.
===
Napenda KUISHUKURU 🙏🏻 Mahakama ya Wilaya ya Babati Kwa KUIPOKEA kwa Wakati,Malalamiko (Complaint) ya MTEJA wangu HASHIM ALLY dhidi ya PAULINE PHILIPO GEKUL.
Muda wowote kuanzia jumatatu tarehe 11 Disemba 2023, nitapeleka NYARAKA HALISI za KESI ili MAHAKAMA ianze KUSIKILIZA KESI.
Pia soma:
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Breaking News: - Rais Samia Suluhu atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama
CCM Manyara yakutana kumjadili Pauline Gekul, kutoa tamko Novemba 27, 2023
Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya
Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake