Pete hizi mikononi mwa viongozi wetu wakuu ni za nini?

BW bahati gani tena wakati tayari mpaka walipo wameshabahatika.

Imani yangu kuna baadhi ni urembo hasa ufahari na wengine ushirikina tu.

kaulize ile vita ya kuwakomboa albino ilikoma kwa nini!.haya majamaa ni shirki. Likikupulizia pumzi yake tu death@watchout.veve.iko kufa.
 
Ngoja watalaam waje ingawa wengine tunajua za ndoa tu,si zile nyingine.
 
badala ya cut out or hirizi zilizokuwa zinaning'inia kiunoni au mbavuni sasa technologia ya shetani ime advance ndo maana waona hizo hirizi0mbadala.
 
kuna pete hata mia sio issue,as long tunauhakika zina maana sahihi either kidini, kiutamaduni, n.k. kuna wanaume wengu tu hapa mjini wengine wanajiita mapapa wanavaa pete zaidi ya mbile za dhahabu+silver+ vifuu+shells n.k mbona hatushangai au kuanzisha mada kuhusu hao watu?
kavaa JK tu imekuwa tatizo. nadhani tuna mambo mengi ya ku zungumzia apart from personal life/beliefs.
onyesha ugamba wako mzee,
 
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
 
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
Mbona kama vile una majibu tayari kwa maswali yako? Yote ni ndiyo.
 
Hii kitu ina ukweli,ikibidi tuwataje kwenye hii thread,mimi naanza na huyu...
 
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
Umejuaje kama ni za majini??
 
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?

Duh! Nilidhani "majini" ni aina mpya ya madini iliyogunduliwa nchini mwetu!
 
Hizo pete zinavaliwa ma Masheikh/Waislam na Ma-Askofu.

CCM hatuna huo ujinga....

Ccm ndio vinara,sijawahi kumuona mpinzani anavaa mapete hayo makubwa makubwa, sheikh yahya naona kaacha madhara makubwa ya kisaikolojia,ccm ni full uchawi na ulozi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom