Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Wakuu wikiendi ndo hiyoo inayoyoma ila nina swali naomba msaada.
Nimeona, hasa kwa viongozi wetu wakuu ukianzia kwa mkuu mwenyewe,wasaidizi wake, baadhi ya wabunge na wakuu wa mikoa wana pete flani kubwa kwenye vidole vyao ukiachilia mbali pete za ndoa. Hili pia nimeliona kwa maaskofu wa KKKT na Anglican. Please kwa yeyote ajuae maana na sababu ya kuvaliwa kwa pete hizi nielimishwe.
Nimeona, hasa kwa viongozi wetu wakuu ukianzia kwa mkuu mwenyewe,wasaidizi wake, baadhi ya wabunge na wakuu wa mikoa wana pete flani kubwa kwenye vidole vyao ukiachilia mbali pete za ndoa. Hili pia nimeliona kwa maaskofu wa KKKT na Anglican. Please kwa yeyote ajuae maana na sababu ya kuvaliwa kwa pete hizi nielimishwe.