Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
Waliyafukuza katika karne ya kumi na sita walipoamua kuwachoma moto wachawi wote. Naona yalikimbilia Afrika na Arabuni.
Ukitaka kujua utamu wa ngoma laZima uingie ucheze, karibu CCM ndio utapata kila jibu unalotaka ... Karibu Sana Mkuu...View attachment 187062
Ukitaka kujua utamu wa ngoma laZima uingie ucheze, karibu CCM ndio utapata kila jibu unalotaka ... Karibu Sana Mkuu...View attachment 187062
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
Waliyafukuza katika karne ya kumi na sita walipoamua kuwachoma moto wachawi wote. Naona yalikimbilia Afrika na Arabuni.
Nimekuwa nikiwafuatilia wanasiasa wengi hasa wa ccm wanavaa pete kubwa kubwa ambazo inadaiwa zinawalinda dhidi ya nguvu za giza,je wanasiasa hawa wanaamini ushirikina kiasi hicho? Na je hii ndio inafanya imani hizo zisipungue nchini? Na nina swali kwa viongozi,wanahisi nani atawaroga,sisi wananchi au wanahofu ya kurogana wao kwa wao?
Waliyafukuza katika karne ya kumi na sita walipoamua kuwachoma moto wachawi wote. Naona yalikimbilia Afrika na Arabuni.