IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 385
Ynakuhusu hakuna mambo binafsi pete zinamaana yake tokea zamani!
Kila Mtu Linamhusu Hili Kiongozi wa Nchi Ni Kioo cha Jamii..Ieleweke Tu Kuwa Pete Tatu ni Za Ulinzi dhidi ya Nguvu za Giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ynakuhusu hakuna mambo binafsi pete zinamaana yake tokea zamani!
Mwanamume wa Kiisalmu anapaswa kuvaa moja ya hizi....gold marufuku kwa mwanamume kwa kuwa hupunguza nguvu za kiume..JK anayo moja ya Gold mkono wa kulia
kuna msemo wa kifilosofia unaosema:you must doubt in everything,jamani mwangalie sasa kikwete kwenye mkono wake wa kushoto ameongeza pete nyingine na kufanya idadi ya pete zake vidoleni kuwa tatu,kulikoni haswa wakati huu wa uchaguzi?
leo hii umwone mwanaume au mke aliye kwenye ndoa hataki kuvaa pete unapata taswira gani?na ikiwa unavaa pete nyingi ingekuwa kwa upunde wa mwanamke tungesema ni urembo.sasa dume zima unapojishindilia mapete vidole lazima waungwana tuhoji kulikoni?
haikuhuusuuu,ndo utataka kujua hata kava chu.. ya rangi gani wewe...loh
Jamani naombeni kujuzwa juu ya wanasiasa kuvaa pete kubwa kubwa. Baadhi hawakuwa nazo siku za nyuma mf W/Mkuu Pinda, mama Tibaijuka, Halima Mdee, Dr Kikwete, Mkulo etc.
Siri ni nini?
Za bahati