Pete hizi mikononi mwa viongozi wetu wakuu ni za nini?

president_benjamin_mkapa.jpg
Ni mapepo ya kishirikina ndio maana anaanguka anguka kila mara.[/B]


Na hizi alipewa na Mchungaji/mtume/mtumishi/askofu/mwalimu/dokta isack ndodi
 
Bwana Mungu asema, Mini Bwana Mungu wako usabudu miungu wengine, Tazama mimi ni Mungu mwenye wivu.

Hivyo wale wote wanaoabudu miungu mingine kama shehe Yahya (ambaye anajifanya nae kuwa mungu mdogo afanyae kazi katika ulimwengu wa giza), Bwana Mungu asema atawapatiliza maovu yenu juu yenu hata kizazi cha pili na cha tatu cha wote wamchukiao (wasiemwabudu yeye katika kweli na roho)
 
Ni za horoscope hizo, ambazo kwa mtu mwenye imani ya ukweli hizo ni kama MADHABAHU ya bandia, ni kuamini kitu hicho kwamba kitakusaidia kuliko Mungu muumbaji!...what ana insult to God!...
Ni kama kumvalisha mtoto zile "condenser" nyeusi shingoni!...huh!

Hakuna tofauti kati ya kuamini horoscope na kuamini mungu, zote ni superstisious beliefs zisizo na empirical proofs.
 
Bwana Mungu asema, Mini Bwana Mungu wako usabudu miungu wengine, Tazama mimi ni Mungu mwenye wivu.

Hivyo wale wote wanaoabudu miungu mingine kama shehe Yahya (ambaye anajifanya nae kuwa mungu mdogo afanyae kazi katika ulimwengu wa giza), Bwana Mungu asema atawapatiliza maovu yenu juu yenu hata kizazi cha pili na cha tatu cha wote wamchukiao (wasiemwabudu yeye katika kweli na roho)

Kwa hiyo wivu ni tabia ya kiungu ?

Hivi mungu mwenye uwezo wote na muumba wa kila kitu atakosa nini kama wanaadamu wasipomuabudu ? Huyu mungu ana njaa gani ya kuabudiwa?

Au mungu huyu ni sawa na miungu ya Greek Mythology kina Zeus na Hades ambao uungu wao ulitegemea kuabudiwa, kwamba kuabudiwa na watu ndiko kulikokuwa kuna charge immortality yao, asipoabudiwa charge yake ya uungu inaisha?

Kama sivyo, kwa nini anasisitiza sana kuabudiwa kumshinda hata Chairman Mao ?

Au huyu mungu hayupo na ni mythology tu kama kina Zeus ?
 
kuna msemo wa kifilosofia unaosema:you must doubt in everything,jamani mwangalie sasa kikwete kwenye mkono wake wa kushoto ameongeza pete nyingine na kufanya idadi ya pete zake vidoleni kuwa tatu,kulikoni haswa wakati huu wa uchaguzi?
 
hayo ni mambo binafsi... acha kumpa shetani nguvu za ziada urasa
 
hayo ni mambo binafsi... acha kumpa shetani nguvu za ziada urasa


Shetani amejitoshereza kwa kila jambo na hasa kama una imani haba kwa mwenyezi Mungu, mpe haki yake Mungu. Shetani ameonekana kukuteka na unaamini jambo ambalo hujaliweka wazi kuhusu pete hizo tatu. Mkapa alikuwa anavaa mkufu wa dhahabu shingoni na hadi sasa anavaa lakini hilo halikumzuaia kufanya kazi ya maendeleo kwa watanzania,na hatuwezi kujua pengine hata wagombea wengine wanavaa pete na hata mikufu lakini haijaonekana hadharani kama ilivyotokea kwa hawa wengine.

Sina maana tusijadili lakini tunahitaji kuweka vipaumbele vya maoni yetu wakati huu zimebaki siki 10 kuelekea uchaguzi mkuu. Tunahitaji kujadili kilicho bora zaidi ili tusijepitwa na matukio muhimu ya kitaifa ambayo ni zaidi ya mjadala wa pete tatu.
 
sheikh yahaya yupo kazini


umefika mbali mkuu. Na wewe unaamini sheikh yahya ana nguvu kuliko Mungu. Kauli zake zinakupa hofu kama wale jamaa wasioamini uwepo wa muumbaji wa mbingu na ardhi.

Sheikh Yahya yupo kazini na umaarufu wake unapungua ukilinganisha na miaka ya nyuma, kurejesha heshima na umaarufu wake ameona ni bora atoe kauli tata na kweli tumejikuta tunamjadili bila kikomo na kuacha mambo ya msingi. Watu wa kale wenye kuamini mizimu walikuwa wanampa heshima hiyo, watu wa kizazi cha dot com wanampuuza.

Kwa maoni yangu tuuuu, kwani kutabiri vifo ni lazima kwa wanasiasa tu, sheikh ana ndugu, rafiki, majirani na jamaa zake wengine kwa nini hajatabiri vifo vyao na kifo chake. hatujawahi kumuona akitabiri kupitia vyombo vya habari vifo vya watanzania wa kawaida.

Namuona ni mtu aliyekosa subra na anataka kuwapaka matope wanasiasa. Kwa mtu asiyeamini ushirikina na unajimu atakuwa anajichafua kujibizana na sheikh huyu.
 
Shetani amejitoshereza kwa kila jambo na hasa kama una imani haba kwa mwenyezi Mungu, mpe haki yake Mungu. Shetani ameonekana kukuteka na unaamini jambo ambalo hujaliweka wazi kuhusu pete hizo tatu. Mkapa alikuwa anavaa mkufu wa dhahabu shingoni na hadi sasa anavaa lakini hilo halikumzuaia kufanya kazi ya maendeleo kwa watanzania,na hatuwezi kujua pengine hata wagombea wengine wanavaa pete na hata mikufu lakini haijaonekana hadharani kama ilivyotokea kwa hawa wengine.

Sina maana tusijadili lakini tunahitaji kuweka vipaumbele vya maoni yetu wakati huu zimebaki siki 10 kuelekea uchaguzi mkuu. Tunahitaji kujadili kilicho bora zaidi ili tusijepitwa na matukio muhimu ya kitaifa ambayo ni zaidi ya mjadala wa pete tatu.

Karibu mkuu, au mwenzetu mwenyeji?
 
Mambo binafsi hukaa kibinafsi.....kuvaa pete ya aina yeyote si jambo binafsi bali ni kutoa ujumbe kwa jamii kuwa wewe ni mtu wa aina gani...aidha una PhD,Padri,umeoa,umechumbiwa,shoga,una majini nk.....kazi ya pete ni kutoa message basi na wala si swala binafsi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom