Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
kila kitu si siasa,hizi issue za kudhalilisha watoto zinzolikabili kanisa dunoa nzima sasa na wakatoliki wenyewe wanalalamika kwambapapa hachukui hatua anaficha madhambi,JE NI HABARI LEO,CCM AU SIRIKALI INAHUSIKA.yule pdre alomnajisi mtoto chuo kikuu kweye gari ni serekali imetunga au habari leo.anachotakiwa pengo kusema ni kuilazmisha serikali ithibitishe.HE WHO ALLEGE MUST PROVE
Mie nadhani Pengo kesha sema sasa serikali ionyeshe ukweli si wanao ? Juu ya shida ya Kanisa na ulawiti kwenye hili saga ni irrevent kabisa ndugu tuliza akili uone nisemayo .Hapa ni Madawa ya kulevya na Pengo katajwa sasa Papa na kulawiti wapi na wapi ?