Kama atakuwa amejihusisha, basi cycle hizo lazima zitahusisha pia watu ama shughuli za kanisa kama cover, hence really hard to avoid the church involvement, halafu kama unavojuwa hawa wanaripoti kwa Pope, na kama kuna uchunguzi, maybe tayari kanisa wanawakwao pia.
Catholic church ni kubwa mkuu, ni kama ina serikali yake.
Scandal kama hiyo maybe tayari inafanyiwa kazi ndani kwa ndani kwasababu kama yeye ni allegedly kuwa mmojawapo wa hao madealer wakubwa, basi ina maana huwa ana import drugs na cover inawezekana ikawa watu na church activities.
So the scandal has big implications other than just Pengo kama unavyotaka tuamini.
Hata kama itagundulika kuwa si kweli mara baada ya uchunguzi, still it can be costly to the cause, damaing to the church's reputation and also discouraging to others who wanted to be on the front.
Ndo hapo ile mantiki ya "Kunyamazishwa" inapoingia kwenye equation.