Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

Haswaa,wala hujakosea! Wangapi wanamkumbuka Leonard Bhonke mhubiri wa kimataifa? Alikuwa anakusanya maelfu ya watu viwanja vya wazi,pia alihubiri live kwenye radio na tv akiwa uwanjani,lakini akanaswa na shehena ya madawa ya kulevya. Kikwete kwenda kuwaambia maaskofu kuwa viongozi wa dini waache kuuza madawa ya kulevya we unadhani alikurupuka? Na alipopewa masiku ili akanushe au adhibitishe na yeye kukaa kimya ulidhani yeye *****? Alijua akiwasema hadharani kuwa ni fulani na fulani hali ya nchi itakuwa hatarini kwani watu wa madawa hujipanga kwa njia zote. Mfano ikipangwa JK auwawe,na mpango ukafanikiwa basi ujue yale ya Rwanda yatakuja Tanzania lakini itakuwa baina ya Waislam na Wakristo.
Si ajabu huyo mhubiri kukamatwa na madawa ya kuleva. Mbona hata mtume wa allah pamoja na vikundi vyake vya kigaidi kama Taleban, Alqaida, Al Shabab, hutegemea dola za madawa ya kulevya kuendeleza jihad duniani?
 
Wanaodhani hii propaganda itamnyamazisha Pengo imekula kwao. Kanisa Katoliki from its origin lina intelligensia yake imara hata CIA wajua hilo, mtu akikengeuka hata kabla intelijensia zenu za Kibongo anshugulikiwa, ukitaka kujua hilo uliza Askofu Koda wa Same yuko wapo.Vyeo havipatikani kwa promotion bali integrity ya mtu.
Pengo hata nguo zake hajui bei yake hadi anakufa sasa anauza unga ili iweje.Ni mwendawazimu tu ndo atadhani kumchafua Pengo anapambana na kanisa, Kanisa katoliki limekuwepo takribani miaka 2000 propaganda hizi ni ujinga ambao hautawasaidia lolote wanaoueneza.
 
Samahani wadugu nina ka swali. Vipi ile tuhuma ya mzee Mengi kuwa mtoto wake alitegeshewa dawa za kulevya na watu wazito baadhi ya askari polisi na wadau wengine wakiwemo nini hatma yake? Je kulikuwa na ukweli juu ya lile?

Polisi wamesema nini ktk tume yao ya kuchunguza ile tuhuma? Kama mzee Mengi alikuwa sahihi ktk tuhuma zile nini yalikuwa malengo ya waliopanga njama?

Na kama ilikuwa ni tuhuma za uongo hatua gani polisi na wadau walio tajwa walichukua? Ninaona kitu hapa ktk taarifa toka kwa mhadhama kadinali Pengo. Naendelea kujifunza kufikiri kwa makini.

Nadhani ni vema serikali na wadau wake kuyachukulia kwa umakini mambo haya na sheria ichukue mkondo wake tuhuma zifanyiwe kazi na kila mwenye kutakiwa kuwajibishwa na iwe ivyo pindi inapothibitika iwe kwawanao taka kuchafua watu na kama watuhumiwa ni kweli wanahusika basi hatua zisisite.
 
Wanaodhani hii propaganda itamnyamazisha Pengo imekula kwao. Kanisa Katoliki from its origin lina intelligensia yake imara hata CIA wajua hilo, mtu akikengeuka hata kabla intelijensia zenu za Kibongo anshugulikiwa, ukitaka kujua hilo uliza Askofu Koda wa Same yuko wapo.Vyeo havipatikani kwa promotion bali integrity ya mtu.
Pengo hata nguo zake hajui bei yake hadi anakufa sasa anauza unga ili iweje.Ni mwendawazimu tu ndo atadhani kumchafua Pengo anapambana na kanisa, Kanisa katoliki limekuwepo takribani miaka 2000 propaganda hizi ni ujinga ambao hautawasaidia lolote wanaoueneza.

mia mia mkuu hzo ni propaganda za kumpunguzia interest kwa jamii
 
Pengo alifanya kosa kubwa pale huyu jamaa alipoiba kura na kusema ni changuo la Mungu. matokeo yake ndiyo haya anapata dhihaka na kanisa lake! anyway hilo lilikuwa ni kosa la kwanza kwa muaadhama Pengo.

Lakini hii si ngeni kwa watawala wenye akili duni kwenye kitabu I LOVE IDD AMIN by Festo Kivengere ilifika mahali Idd Amin anafanya dhihaka kwa maaskofu akiwaambia mbele yao.

"msione hawa maaskofu wamevaa kola nyeupe shingoni wanaigiza silaha kutaka kunipindua" baada ya siku kadhaa askofu mkuu LUWUM aliuwawa na kikosi maalumu cha mauaji kilichoundwa na iddi amin. tafakari-kama kiongozi anaushahindi kwanini asimfikishe huyo mhusika mahali pake na matokeo yake anauwawa kinyama.


hii iko sawa kabisa na utawala wetu wa sasa. najua watu hawataki kulisema kumeundwa kikundi ndani ya usalama kikifanya mauji kama iddi amin alivyokuwa anafanya kipindi cha udikteta wake.

Kuna vitu viwili i will die very easy for 'mtu kuua jamii yangu au kucheza na imani ya dini yangu' for this sihitaji bikira 70.
ombi kwa kadinali ni kwamba atafute wapi alipwaya ili nchi hii tuirudishe mahali pake.
 
a mere word without proper evidence is like a piece of paper in a dustbin
watapiga kelele za kijinga lkn kanisa ni imara.wajua kanisa katoliki si la mtu mmoja kama yale makanisa ya mtu yanayomilikwa na mtu mmoja
kanisa lina vyanzo vingi miradi mingi mfano msimbazi center pekee inatosha kulisha makanisa yote dar mapato yao makubwa
kanisa lina shule nyingi hosp,nk halitegemei madawa kuliendeleza waumini wenyewe wanaliendeleza,
kumpaka matope ndio kutampa sauti ya kuanika maovu zaidi na kanisa likijenga uadui na viongozi nchi sidhani kama
itakalika.mshindwe na mlegee mnaosukumwa na shetani kupotosha kazi ya Mungu mwishoni mtashindwa wneyewe
mmpeanza na Pengo mtakuja kwa dr Mokiwa,mtaenda KKKT mtaenda Moravian,mtaenda assemblies kote huko
mtashindwa vibaya.
 
Father we have all sinned and fell short of the glory of God. A sufuria will always be a sufuria felling short perfect sufurianess as regards such desiarable properties perfect heat conduction,perfectely non sticky to name a few.
 
Nadhan dawa za kulevya haziuzwi na kanisa,bali wadau wa kanisani,the same to BAKWATA
 
Wanaodhani hii propaganda itamnyamazisha Pengo imekula kwao. Kanisa Katoliki from its origin lina intelligensia yake imara hata CIA wajua hilo, mtu akikengeuka hata kabla intelijensia zenu za Kibongo anshugulikiwa, ukitaka kujua hilo uliza Askofu Koda wa Same yuko wapo.Vyeo havipatikani kwa promotion bali integrity ya mtu.
Pengo hata nguo zake hajui bei yake hadi anakufa sasa anauza unga ili iweje.Ni mwendawazimu tu ndo atadhani kumchafua Pengo anapambana na kanisa, Kanisa katoliki limekuwepo takribani miaka 2000 propaganda hizi ni ujinga ambao hautawasaidia lolote wanaoueneza.

Sishani kama Pengo alishawahi kushika hela mkononi tangu awe askofu, maana hana haja ya hela!!!!. yeye kila kitu anachokihitaji anakikuta kiko mezani. Sasa hiyo biashara ya nini jamani. Tuwe na busara.
 
Pia tusiongee kwa kujiamin kama hafanyi,hlo nalo tuliangalie sana,
 
Wanaodhani hii propaganda itamnyamazisha Pengo imekula kwao. Kanisa Katoliki from its origin lina intelligensia yake imara hata CIA wajua hilo, mtu akikengeuka hata kabla intelijensia zenu za Kibongo anshugulikiwa, ukitaka kujua hilo uliza Askofu Koda wa Same yuko wapo.Vyeo havipatikani kwa promotion bali integrity ya mtu.
Pengo hata nguo zake hajui bei yake hadi anakufa sasa anauza unga ili iweje.Ni mwendawazimu tu ndo atadhani kumchafua Pengo anapambana na kanisa, Kanisa katoliki limekuwepo takribani miaka 2000 propaganda hizi ni ujinga ambao hautawasaidia lolote wanaoueneza.

nadhan ni suala la muda tu,hata mawaziri wetu Hawajui bei za suti,je hawajiucsh na rushwa?
 
nadhan ni suala la muda tu,hata mawaziri wetu Hawajui bei za suti,je hawajiucsh na rushwa?

Usifanye simple comparison/analysis!!! Mawaziri si suti tu wana matamanio mengi ya maisha- watoto wao, wake zao etc- lazima wawaachie urithi duniani wakifa. Pia lazima watafute hela kutetea ubunge wao inapoisha miaka mitano- huwezi kulinganisha na askofu>
 
nimemjibu mchangiaji mmoja huko nyuma kwamba alwayz mimi napenda kujishughulisha zaidi na facts,dawa za kulavya hata kama zinauziwa chumbani kesi zake zinatajwa na kusikilizwa mahakamani na polisi mara zote kupitia bwana kamanda nzowa(mlokole anadai)wamekuwa kila wanapokuwa na latest kwenye issue ya madawa wakiita press conference kutueleza mafanikio yao kwenye upambanaji wa biashara hiyo haramu,naamini kupatikana kwa taarifa za pengo zenye uhakika kwamba naye yumo yatakua ni mafanikio makubwa na ya kujivunia ya jeshi letu la polisi ambalo tumekua tukilitilia shaka kwa ku deal zaidi na vidagaa kwenye issue ya madawa na kuyaacha ma big fish yakitamba!sina papara nasubiri report ya wataalam wetu katika angle hii
(polisi)
Kwa hiyo unataka kusema kila taarifa sahihi lazima itolewe na taasisi inayolishughurikia. Na vilevile hakuna taarifa inaweza kuvuja kabla haijatolewa na taasis hiyo na taarifa hiyo ikamfikia mlengwa, mlengwa huyo akaitoa na hivyo taarifa hiyo ikawa ni sahihi? Issue nyingine unataka tuamini kila taarifa inayotolewa na taasisi za serikali ni sahihi na hakuna foul play?
 
Ya Pengo siyajuwi na ndio kwanza nnayasikia leo.

Lakini kuhusu kanisa la Roman Catholic kuhusika na kashfa za madawa ya kulevya na ngono za kuharibu watoto na ngono za wanaume kwa wanaume (gay-ism) nimeshasoma sana kwenye vyombo vya habari. Jee, unabisha nikubandikie humu hizo habari?

sidhan kama hayo yana utata,ila hli la 'UNGA'...
 
Baada ya sakata la viongozi wa dini na tuhumu za madawa ya kulevya kusimama kwa muda sasa limerejea tena baada ya Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo kueleza jana masikitiko yake ya kutaka kunyamazishwa kwa kuhusishwa na sakata hilo kama njia ya kumnyamaziaha.

KUJIKANGANYA KWA SERIKALI 1. Wakati wa baraza la Idd, Rais Kikwete alisema kauli yake ilieleweka vibaya, akasema taarifa alizopewa ni za mchungaji mmoja wa Kanisa la Biafra Kinondoni na Shehe mmoja, na hakumaanisha viongozi wote.

2. Waziri Mkuu Pinda wakati akijibu swali la Susan Lyimo (MB.) alisema Rais alieleweka vibaya kwani waliokamatwa, kwa kauli yake ni "wachungaji waswahili wa vikanisa vidogo" na wala si maaskofu kama ilivyochukuliwa na vyombo vya habari. Wakati propaganda hii ikizidi kushika kasi, mtu yeyote makini lazima azingatie yafuatayo.

Kwanza, kwa mfumo wa Kanisa Katoliki, haliitaji kusubili intelijensia ya wabongo iwaambie kiongozi fulani amekengeuka.Kanisa lina intelijensia yake ambayo hata CIA pamoja na nguvu zote wanalitambua hilo.Kiongozi yeyote hata awe Papa akikengeuka kwa issue nyeti kama hii anathibitiwa mara moja,Kwa wale wanaomjua Askofu Koda wa Same waulize leo hii yuko wapi'

Pili, kwa mfumo wa kanisa Pengo kama kiongozi hata nguo zake hajui bei yake. Matunzo yake yote yanafanya na kanisa hadi anakufa, yeye kama yeye haruhusiwi kumiliki hata hela bali alichonacho chote ni mali ya kanisa na hakuna anachokosa.

Tatu
, kanisa aligawi vyeo kwa kujuana wala promotion, ni integrity yake, kwa hiyo hadi Pengo anachaguliwa kuongoza kanisa la Tanzania, integrity yake ni beyond any reasonable doubt. Hata akikengeuka upo mfumo wa kudeal naye hata before intelijensia ya bingo kubaini. Kwa ufupi, Kanisa Katoliki limekuwepo takriban miaka 2000 na litaendelea kuwepo kwa sababu ya misingi yake kiimani na mfumo wake wa kumdhibiti yeyote.

Ni mwendawazimu tu atakayedhani serikali hii ya awamu ya nne itapambana nalo kwa kuzusha tuhuma za kitoto ili kuwanyamazisha viongozi wake. Kwa ushauri tu, serikali zote (na vyama vyao) zilizojidai kupambana na kanisa zimefall apart (revise your history), fanyeni tu wanayowakemea for your political survival.
 
Wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu,utakachofungua kimefunguliwa mbinguni na utakachofunga kimefungwa mbinguni..
 
Back
Top Bottom