Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Kuhusu kuanza kwa treni ya kisasa ya SGR, Makonda amesema kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichoketi Unguja hivi karibuni kiliwaita Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kutoa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa.
"Tuliwahoji mbona kumekuwa mabadiliko ya kuanza kwa treni ya kisasa?
"Mwaka huu kama kuna ahadi nyingine zaidi ya kuiona treni ikitoka Dar es Salaam hadi Dodoma, wakatupa tena ahadi, CCM itakula kichwa, muda wa ahadi umekwisha," alisema.
Makonda ameeeleza hayo leo Ijumaa Januari 19, 2024 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Bunju akiwa njiani kuelekea Bagamoyo mkoani Pwani.
Katibu huyo wa uenezi leo ameanza ziara ya mikoa 20 iliyopewa jina la "back 2 back".
==========For English Audience Only===========
In response to the commencement of the modern Standard Gauge Railway (SGR) train service, Paul Makonda expressed his concerns during a recent meeting of the CCM Central Committee held in Unguja. Makonda highlighted that the committee summoned the Minister of Transport, Professor Makame Mbarawa, and the Director-General of the Tanzania Railways Corporation (TRC), Masanja Kadogosa, to provide explanations regarding the progress of the modern railway construction.
He questioned the changes in the start date of the SGR train and emphasized that any additional promises beyond this year for the train to run from Dar es Salaam to Dodoma would be unacceptable. Makonda warned that CCM would face consequences if such promises were not fulfilled within the specified timeframe.
These remarks were made as part of Makonda's address during a public meeting at Bunju Secondary School grounds on January 19, 2024, marking the beginning of his "back 2 back" tour covering 20 regions.
However, public sentiments express frustration with a perceived pattern where authorities, instead of proactively addressing issues, seem to instigate problems only to later present themselves as the solution. This strategy is likened to a constant cycle of manipulation, with critics pointing out that it resembles a "good Cop, bad Cop" approach, where all involved parties are deemed complicit in an ongoing charade.
The recent challenges with electricity supply are cited as a prime example, with some questioning the launching an electric train service amid a nationwide power crisis. The skepticism arises from the belief that tackling the fundamental issue of power shortages should be prioritized before venturing into ambitious projects like the Standard Gauge Railway (SGR).
PIA, SOMA:
He questioned the changes in the start date of the SGR train and emphasized that any additional promises beyond this year for the train to run from Dar es Salaam to Dodoma would be unacceptable. Makonda warned that CCM would face consequences if such promises were not fulfilled within the specified timeframe.
These remarks were made as part of Makonda's address during a public meeting at Bunju Secondary School grounds on January 19, 2024, marking the beginning of his "back 2 back" tour covering 20 regions.
However, public sentiments express frustration with a perceived pattern where authorities, instead of proactively addressing issues, seem to instigate problems only to later present themselves as the solution. This strategy is likened to a constant cycle of manipulation, with critics pointing out that it resembles a "good Cop, bad Cop" approach, where all involved parties are deemed complicit in an ongoing charade.
The recent challenges with electricity supply are cited as a prime example, with some questioning the launching an electric train service amid a nationwide power crisis. The skepticism arises from the belief that tackling the fundamental issue of power shortages should be prioritized before venturing into ambitious projects like the Standard Gauge Railway (SGR).
PIA, SOMA:
- Makonda: 2024 na 2025 tutakupima kwa kazi; sio kwa maneno, sio kwa kugawa kanga kipindi cha uchaguzi
- Makonda: Yetote mwenye sifa atasimamia uchaguzi
- Makonda: Ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli wangenyooka hawa
- Sifanyi mikutano ya kujaza watu kwa kutumia wasanii kwasababu tunataka kuona uhai wa CCM na jumuiya zake - Mwenezi Makonda
- Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani
- Mwenezi Makonda ampatia tsh milioni 2 kijana mjasiriamali mwenye kujiendeleza kibiashara
- Makonda: Siasa imemlipa Mbowe kajenga kasri
- Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani
- Makonda ambananisha meneja TANROADS Geita: Ahoji ni lini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kahama - Kakoro (km 60) utasainiwa ili ujenzi kuanza
- Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana
- Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu
- Makonda: Wafanyabiashara huichangia CCM kwa kuogopa wasiletewe TRA, TAKUKURU, uhamiaji ama Polisi
- Makonda: Stendi mpya Iringa ipewe jina la Chongolo