Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Una vielelezo kuhusu hizo tuhuma ndugu??

Vielelezo vipo ndugu na ndiyo maana Mh. Daudi Bashite katulia tuli kama kamwagiwa maji. Yeye mwenyewe kajiridhisha na ndiyo maana haongelei hili, ataendelea kuongelea madawa ya kulevya ili ajaribu kuua so. Sasa wewe usio mtuhumiwa ndiyo unamuongelea mbona yeye mwenyewe hataki kabisa kuongelea swala hili? Aliulizwa na dada mwandishi wa habari akawa mkali kama pilipili sababu alijua hatimaye kaumbuka. 🙂 Ingekuwa uongo si Daudi angekanusha? Vielelezo huwa siyo mpaka vipigwe picha sababu historia yake haina utata kwa hilo. Jina lake halisi, kijiji alichozaliwa, shule alizosoma n.k... vimetajwa. Sasa mkuu unataka vielelezo gani? Basi nenda Koromije & Shule alizosoma ukaulize ili ujiridhishe.
 
Napata shida sana na mtu anaposema "Paul Makonda arejea nchini kimyakimya" hivi alipoondoka aliwaaga hadi awaarifu anaporudi?
Unapata shida gani mwambie athubutu hata kukanusha kuwa hakuiba cheti kukaa na kulialia ovyo kwenye madhabahu kama demu haimsaidii
 
Vielelezo vipo ndugu na ndiyo maana Mh. Daudi Bashite katulia tuli kama kamwagiwa maji. Yeye mwenyewe kajiridhisha na ndiyo maana haongelei hili, ataendelea kuongelea madawa ya kulevya ili ajaribu kuua so. Sasa wewe usio mtuhumiwa ndiyo unamuongelea mbona yeye mwenyewe hataki kabisa kuongelea swala hili? Aliulizwa na dada mwandishi wa habari akawa mkali kama pilipili sababu alijua hatimaye kaumbuka. 🙂 Ingekuwa uongo si Daudi angekanusha? Vielelezo huwa siyo mpaka vipigwe picha sababu historia yake haina utata kwa hilo. Jina lake halisi, kijiji alichozaliwa, shule alizosoma n.k... vimetajwa. Sasa mkuu unataka vielelezo gani? Basi nenda Koromije & Shule alizosoma ukaulize ili ujiridhishe.
Usipate tabu kuongea na mbayuwayu! Daudi anajulikana wazi kwa kuwa mwepesi wa kujibu ovyo, kama hakuiba cheti aje akanushe kunyamaza kimya kila anapoulizwa na kulia ovyo hakumsaidii
 
Kwa mujibu wa mfumo wetu wa sheria (commonwealth) Gwajima &Co. wana jukumu la kuthibitisha madai/tuhuma zao dhidi ya RC Makonda. Vinginevyo wakae kimya milele.
Kama Daudi amechafuliwa na Gwajima ampeleke mahakamani na huko ndipo mbivu na mbichi zitajulikana
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!


Onesha picha tukuamini. Mbona Mange hajasema?
 
Ata mzee akiuchuna lakini Bashite ameshapoteza hata confidence makeke kwisha kaumbuka vibaya..hapo ofisini kwake watakuwa wanamcheka wakiwa wamejificha
Wote watakuwa hawana confidence kwa sababu ni wamoja elimu zao zina utata ndiyo maana wanajificha kwa kutisha watu lkn kwa sasa hamna kitu.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi

Mchapa kazi na mbunifu.

Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake

Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya

Mbunifu wa ajira kwa vijana

Shujaa asiye tetereka

Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko

Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana

Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa

Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya

Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar

Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.

Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake

Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.

Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.

Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.

Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.
Kina Bashite mnateteana
 
Usipate tabu kuongea na mbayuwayu! Daudi anajulikana wazi kwa kuwa mwepesi wa kujibu ovyo, kama hakuiba cheti aje akanushe kunyamaza kimya kila anapoulizwa na kulia ovyo hakumsaidii
Hakuiba,kwn hadi sasa hakuna aliyejitokeza kudai kuwa aliibiwa. Kisahihi sema alinunua au alitumia cheti cha mtu mwingine kwa makubaliano.
 
Back
Top Bottom