Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,776
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Arejee bila mange kujua? Ngoja niangalizie bi mdada anasemaje huko insta
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Arejee bila mange kujua? Ngoja niangalizie bi mdada anasemaje huko insta
We Maso acha maneno mwambie Bashii aoneshe vyeti vyake anatuchelewesha kujenga viwonder!!
Hiyo inafanywa na mamlaka ya Ikulu kabla ya uteuziBasi uhakiki wa vyeti vya form four, six na shahada ya kwanza uanze kwa wateule wote kuanzia Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Wakurugenzi watendaji wote, makatibu wakuu, na Mawaziri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji106]Arejee bila mange kujua? Ngoja niangalizie bi mdada anasemaje huko insta
Daah!! Huku ndio usiku wa manane.....
.....hahaha Mkuu niko Japan karibu Lanchi
Na we we hujalalaDaah!! Huku ndio usiku wa manane
Mpenyeza Habari alipaswa ampigige picha....hata hakuna itu aliyempiga picha pale airport.....Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
.....Daah!! Huku ndio usiku wa manane
😀😀😀 noma sana hii duniaKaja kimya kimya??
Dah, jamaa anaishi maisha ya digidigi kwa sasa.
Mbona hawana ubavu wa kusema vyeti vya Daudi Bashite havina shida?Anayetaka vyeti akavifuate Ikulu maana ndiyo mwajiri wake na walipoomba vyeti aliwapa na kuridhika navyo na hatimaye kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya na sasa Mkuu wa Mkoa
Sasa wewe unataka vyeti upeleke wapi?
Sio aibu tu bali pia ni kosa kisheria na kwa wajuvi wa sheria wanakwambia adhabu yake ni jela miaka mitatu yaani mara sita ya adhabu ya Ndugu Lijualikali.Aoneshe vyeti sasa....!!!
Ni aibu kwa RC kutumia cheti cha mtu mwingine.
Kaogopa kaamua kikimbia kule South Africa asikamatwe kwa kutumia passport yenye jina bandiaKaja kimya kimya??
Dah, jamaa anaishi maisha ya digidigi kwa sasa.
Hajarejea kwa kupenda bali kaogopa kukamatwa kwa kosa la kutumia jina bandia kwenye passport yake.Sioni kama kuna tatizo mtu kurudi nnchi kwake
Haiwezekani.,unataka kunambia kwa jinsi anavyopenda kamera leo hii yamemfika amekuwa wa kuzikwepa!!!,ama kweli "dunia ya MUSSA".Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi
Mchapa kazi na mbunifu.
Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake
Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya
Mbunifu wa ajira kwa vijana
Shujaa asiye tetereka
Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko
Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana
Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa
Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya
Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.
Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar
Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.
Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake
Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.
Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.
Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.
Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.