Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Kama hili ndio jibu la swali langu, basi wazungu tutaendelea kuwategemea sana tu!
Hatutakiwi kuwategemea wazungu.tusipokuwa kitu kimoja na kuyaangalia matatizo ya Bara letu na jinsi ya kuyatatua kwa pamoja basi itakuwa shida
 
Wote watakuwa hawana confidence kwa sababu ni wamoja elimu zao zina utata ndiyo maana wanajificha kwa kutisha watu lkn kwa sasa hamna kitu.
Unamaanisha hii Phd ya mafuta ya korosho
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi

Mchapa kazi na mbunifu.

Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake

Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya

Mbunifu wa ajira kwa vijana

Shujaa asiye tetereka

Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko

Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana

Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa

Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya

Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar

Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.

Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake

Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.

Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.

Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.

Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.

Umesahahu Mbabaishaji hana Vyeti.
 
Vyeti anavyo na ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

Hahhahahahah avitoe sasa mbona analilia lia hovyo kama mtoto.

Hapo jamaa yenu hana hata cha darasa la pili.Mr.Zero.Yaani serikali ya CCM bwana inateuea mpaka Zero Certificates Gratuates,yaani hawana hata cheti cha darasa la pili ati ndiyo Mkuu wa Mkoa,dereva wake ana cheti cha form four.Majanga kweli ni majanga.

Chama cha Majambazi mpaka vyeti mnakwiba
 
Kazi mnayo. Yule mbwa anayebwatuka ajifunze sifa za tawala hapa duniani
 
Vyeti anavyo na ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
Ha ha Mkuu wa mkoa zungusha lakini si ajabu maana hata aliyemteua kauwa mtu kwa kuulizwa tu PHD ya korosho ameipataje wakati kaiba andiko la mtu
 
Mnalo mwaka huu

Nenda kamgongee hodi home kwake au ofisini kuviomba
Ha ha unaomba kwa mtu kichwa maji kama huyo analo yeye na mkuu wake sasa hivi wamekonda kama mbegu za papai na bado hili la bashite ndio mshiko wa nchi sasa hakuna kinachokwenda haha leo anafungua barabara clouds hawajui kabanishwa kwenye ukuta ka baba yake pale mjengoni amebaki anaanguka tu
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!

Fanya kazi kijana acha kufatilia maisha ya watu. utakuja kufatilia na majini,, kurudi kwake kunakuongezea nini na kukupunguzia nini..? vyeti vyake vinakuhusu nini wewe ndio mwajiri wake..? Go break and take a deep breath kila siku huyo huyo tu hakuna kazi zingine
 
Kazi mnayo. Yule mbwa anayebwatuka ajifunze sifa za tawala hapa duniani
kwa kwa anafadhali sana angekuwa mpayukaji mjing kama aliyeko mjengoni pale magogoni ingekuwa kilio kamfyatisha mdomo yule kwa maana nyingine Magufuli sasa he doesnt have any comanding of power yaani yeye na walaji wenzake wachache wa kitengo wanatamba
 
Hahhahahahah avitoe sasa mbona analilia lia hovyo kama mtoto.

Hapo jamaa yenu hana hata cha darasa la pili.Mr.Zero.Yaani serikali ya CCM bwana inateuea mpaka Zero Certificates Gratuates,yaani hawana hata cheti cha darasa la pili ati ndiyo Mkuu wa Mkoa,dereva wake ana cheti cha form four.Majanga kweli ni majanga.

Chama cha Majambazi mpaka vyeti mnakwiba
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ni graduate
 
Back
Top Bottom