Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,700
Reaction score
9,070
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
 
Hata mtoto mdogo anaweza ku solve quiz hii!! Bashite alikuwa south afrika anafanya maujanja ya kupata cheti!! Kesha kipata! Na soon ataonekana kwenye mimbari akitamba! Na. Usikute ana Baraka za mkuu!! Maana kwa huyu mzee rangi nyeupe Inaitwa bluu
 
Wakuu habari za weekend nimepenyewa habari kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ambaye kwa sasa ana tuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea afrika ya kusini habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa madiba
Tunashukuru kwa taarifa na kuanzia kesho tunawasha moto hadi atoe vyeti
 
Back
Top Bottom