Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Mtuhumiwa hana hata ubavu wa kukanusha! Kielelezo ni ukimya wa Mtuhumiwa! Kanuni inayokubalika kimataifa ni kuwa "kuzinyamazia tuhuma ni kukubaliana nazo"
Haiwezekani utuhumiwe kiasi hicho na ukae kimya halafu utegemee watu wasiamini kuwa tuhuma ni za kweli.
Mamlaka za kufuatilia tuhuma za jinai zipo na zenyewe kwa ishu ya Daudi Bashite ziko kimya!
Ila uzuri nikuwa Mungu hatakaa kimya! Maana Mungu hurudisha madhara ya uovu juu ya kichwa cha mhusika! Vinginevyo afanye toba ya wazi maana uovu uko wazi!
Leteni vyeti vya bashite na Paul ninyi ili kuzihirisha mnayosema mbona kazi nyepesi hivi kuzungumza maneno ndio ushahidi.
 
Atakuwa amekuja na vyeti...baada ya kukarabstiwa huko s.africa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] atakutana na Gwajima aombe radhi maana ibada ya jumapili Gwajima amemaliza kila kitu, yaani Gwajima anashangaa Daudi hajakamatwa,
 
Mambo yepi? Kuonyesha cheti ndiyo kufuatilia mambo ya watu? Hivi kuna mtu anawaza kuajiriwa serikalini bila cheti? Acha utetezi wa kijinga hapa ni cheti tu kama alifikiri kwenda bondeni kutatufanya tumsahau hapa imekula kwake
Jamaa karudi na ataendelea kukutawala
 
Leteni vyeti vya bashite na Paul ninyi ili kuzihirisha mnayosema mbona kazi nyepesi hivi kuzungumza maneno ndio ushahidi.
Mkuu bashite Hana cheti alipata "bashite". Labda uombe cheti cha makonda.
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] atakutana na Gwajima aombe radhi maana ibada ya jumapili Gwajima amemaliza kila kitu, yaani Gwajima anashangaa Daudi hajakamatwa,
Tena kataja na vifungu vya sheria vya kumtia hatiani
 
Hivi kuinyesha ushahidi wa vyeti kama alivyifanya waziri, ni ngumu hivi???
 
Tanzania ya viwonder tutaifikia kweli jinsi watu ukiwaambia agenda IPI kipaumbele viwanda au vyeti wanakomalia vyeti tena cha MTU mmoja ?
Kwa hyo unataka vwonder viendeshwe na watu wenye vyeti magumashi? C vtakufa Kama vle vya zamani
 
Back
Top Bottom