Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Ndiyo weweBashite ndiyo nini
Ndiyo weweBashite ndiyo nini
Mujiaandae wauza unga maana Mheshimiwa kaja na kitu kamili.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ni graduate
Na mnaonekana mnajua kweli kweli. Ndo maana mlisema kakimbia miezi miwili, sasa mbona kaja hata wiki haijaisha? Twambieni sasa!Sio kazi yake. Yupo commissioner anaejua anachokifanya sio kuwaaachia wauza unga waingie mitini na kuuza sura kwenye TV tu na wakina-TID
Na mnaonekana mnajua kweli kweli. Ndo maana mlisema kakimbia miezi miwili, sasa mbona kaja hata wiki haijaisha? Twambieni sasa!
Na leo tayari ushajua hajaja na kilichompeleka, twambie sasa kitu gani kaja nacho!
We ni mfukunyuzi balaaa!Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Aoneshe vyeti ili kunguni wafe....
lazima waaulize anakula mshahara kwa kodi zetu kwanini asiulizwe mtu mtumia vyeti vya wa walikufa wengine kupata stroke baada ya kufukuzwa kazi kwa kutumia vyeti vya watu halafu empty tin mmoja anatamba eti kwa sababu ni kabila moja na mtu ambaye naye anatuhumiwa kufoji PHDFanya kazi kijana acha kufatilia maisha ya watu. utakuja kufatilia na majini,, kurudi kwake kunakuongezea nini na kukupunguzia nini..? vyeti vyake vinakuhusu nini wewe ndio mwajiri wake..? Go break and take a deep breath kila siku huyo huyo tu hakuna kazi zingine
Kwani alipoondoka aliwaaga?Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Sehemu ya kuuliza ni humu JF..? Anatumia vyeti vya watu how sure your..? ukiitwa mahakamani kuprove hivo vyeti utakwenda..?lazima waaulize anakula mshahara kwa kodi zetu kwanini asiulizwe mtu mtumia vyeti vya wa walikufa wengine kupata stroke baada ya kufukuzwa kazi kwa kutumia vyeti vya watu halafu empty tin mmoja anatamba eti kwa sababu ni kabila moja na mtu ambaye naye anatuhumiwa kufoji PHD
Mhh aisee una ona mbali.huenda airpot ndivyo ilivyokuwa.eeee mungu mwili wangu umesisimuka.nadhani safari iliishia hapo.![]()
Bora arudi hukohuko Sauzi...huku bila cheti mambo hayaendi
Hiyo yako,sisi tunafahamu ni graduateSTD vii leaver
MHH HUENDA SAFARI ILIISHIA DAR AIRPOTWadhungu wanasema ati ma black wengi mgekuwa kwao mgekuwa kundi la watu wenye uhitaji maalumu (mtindio WA ubongo)
Sasa wakisoma comments za watetezi WA RC ndiyo watathibitisha kabisa na kutuwwka hata sisi wengine kapu Moja na ninyi
Hajatajiriwa ndio kitu gani hicho? Kaka_ibrah wacha vichapizi
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.Sio kazi yake. Yupo commissioner anaejua anachokifanya sio kuwaaachia wauza unga waingie mitini na kuuza sura kwenye TV tu na wakina-TID