Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
We we ninasikiliziaNatamani Gwajima achokozwe tena na team Bashite ili hadithi iendelee kuwa tamu
We we ninasikiliziaNatamani Gwajima achokozwe tena na team Bashite ili hadithi iendelee kuwa tamu
kila moja ana matatizo yake hawana nafuuGwajima katoka kanda hiyohiyo kijiji cha kolomije, lakini yeye sio mtoto wa mzee.
Daah mkuu silvestre kumbe hata wewe boga kama yeye tetesi akupe wewe kwani we mkewe? Kwa ushirikiano gani Tanzania inayo mpaka wamueleze wauza sembe. Hivi kweli unapoteza hata muda wako kufikiri tu daah aise sina jibu lako they say if you urgue with a fool..... utamalizaNimepata tetesi alienda kukutana na wafungwa wa tanzania walio kamatwa na sembe ivyo kama kunapunda wako huko alikamatwa ujiandae maana kaja na kalasi ya majina ya mabosi waliokua wanawatuma.
au christina syprian ameshavichukua kaenda kumpa kaka yake? atafute vyeti avilete tuvione hapa...kama kweli yeye sio kilaza empty kwenye coconut.tupo nae hapa ndo kaingia ndani eti anatafuta vyeti og maraa oh niliviweka chini ya kitandaa mara jikoni sisi tupo tunamwona tu mpka aimbe ile pambio ya simba wa yuda anaunguruma
Uonezi kwa raia wemaYaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!
Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.
Naomba Wanajamii tumuunge mkono Mh.Makonda na kampong eza kwa kazi nzuri na yahatari ambayo anaifanya.