Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Mkuu wa mkoa anayeweza kulia hadharani mambo yakiwa magumu.

Mkuu wa mkoa ambae babake halisi hajulikani (bashite au makonda )

Mkuu wa mkoa ambae ana uwezo wa kufukuza mtu mkoani kwake had asahau ndala.

Nk.
Gwajima kweli ameitaka Dar kweli wasukuma wanawaweza watu wa Pwani aiseee.

Mzee Makonda anajulikana sana ndiyo baba wa Mkuu wa Mkoa wa Dar
 
Amerud kmy kmy so ulitaka akupe taarifa kama anarud? kwan ww kimada chake? em lete mambo ya maana au ulitaka hasirud? au arud na matarumbeta?? sema maneno yenye afya
 
Daah bora shujaa wetu karejea, we missed him a lot Dar Es Salaam bila yeye haiendi kwa kweli, one love brother RC.
 
Hatuishi kutegemea Wazungu jifunze kujua vitu nje ya box Wazungu si watu wa kuwategemea kwa kila kila kitu.

Na huo ndiyo UJINGA wetu wa Afrika kila kitu kizuti ni cha kizungu.

Africa ni Bara kubwa na lina kila kitu na tunaweza kufanya mengi tu kama tukitulia na kutumia uwezo aliotupa Mungu.
Sasa kinachokufanya ushindwe kutumia uwezo aliokupa Mungu nini!?
 
Mke wa nini? Nasikia jamaa kitandani pia anazungusha kama alivozungusha F4 yaani daraja sifuri. Kama mtu kaoa 2009 na leo ni mwaka wa 8 lakini BILA BILA yaani 0-0!!! Hakuna cha goli hata moja! Huko kwao usukumani huwa wanasema ukikuta mtoto wa kiume hana hata mtoto wa kusingiziwa mtaani ujue huyo ni towashi. Anavolala na mkewe ni sawa kalala na dume mwenzake!!
Hii nayo ni changamoto kwa Bashite na pengine ndo maana inamwongezea msongo wa mawazo kiasi kwamba ili kupunguza FRUSTRATIONS ndo maana jamaa kila siku anakurupuka ili kupunguza mawazo ya kukosa nyamunyamu na watoto.........!!!!!!
Mambo ya mke wake yanaingia vipi hapa? Nyie ndo mnaiharibu JF yetu

Nawewe unajiita great thinker kweli? Hujui hapa jukwaani kuna baba zako na mama zako?

Kuwa na adabu...uadolescent age wako upeleke jukwaa la mapenzi sio hapa
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Ya kweli?
 
tafadhali kama amerudi na vyeti na hicho cha phd ya sauzi akacertify tcu halafu ajiunge na ile portal ya ajira km hana link mpeni tafadhali www.ajira.go.tz
[HASHTAG]#aache[/HASHTAG] maneno alete vyeti
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Kurasini tena? Isije ikawa baraza LA maaskofu tu.. Maana kanisani ndio watanisahau ntahamia kwa gwajima
 
ndo ashakuwa SHUJAA tena hamna namna....bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
Unaandika ujinga, sidhani kama iki ulichoandika unaweza kukiongea mbele za watu.Otherwise utuambie kwamba CCM ni chama kinashiriki maovu.
 
Hatumtegemei yeye ni Mkuu wa Mkoa na wala si shemeji yetu.

Ila ni mchapa kazi na ameonyeshs njia ktk mambo mengi hapa Dar ambayo hatujazoea
Sawa ni kweli, ila yanampa uhalali wa kushikabwadhifa huo bila ya vyeti sahihi vya elimu yake?
Kumbuka hata waliofukuzwa makazini kwa issue ya vyeti walikuwa wanatekeleza majukumu yao vizuri tu ila kosa lilikuwa palepale kuwa wametumia vyeti visivyo vya kwao aidha kupata elimu ya juu au ajira jambo ambalo ni kosa la jinai.
Sasa Mkuu wa mko asiulizwe ikiwa watu wana mashaka nae si athibitishe ahakikiwe aendelee na kuchapa kazi yake? Kwanini Kulia na Kukimbia Nchi?
 
Back
Top Bottom