Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Ha

Hatuishishi kutegemea Wazungu hapaTanzania

Sisi tuna tuna maisha yetu na hatukuanza Leo ni miaka mingi sana hata kabla ya Uhuru.

Panua uwezo wako wa kufahamu tafadhali.
Mama weh! Sijui kama unajua ulichokiandika! "a e i o u" yenyewe umeletewa na wazangu!
 
Mbona umesahau mengine? Sema yote sio unasifia sifia tu sijui ni shemeji yako na ndo mliekuwa mnamtegemea? Sasa mtakufa njaa.
Hatumtegemei yeye ni Mkuu wa Mkoa na wala si shemeji yetu.

Ila ni mchapa kazi na ameonyesha njia ktk mambo mengi hapa Dar ambayo hatujazoea
 
Ha

Hakuna kesi Mahakamani ndiko angejibu hayo unayosema.

Halafu mwenye mtindio wa ubongo hawezi hata kuandika nayoandika.

Nenda fungua kesi dhidi yake ili akujibu mahakani.

Mungu ibariki Tanzania
kesi kwa mahakama zipi? Jaji ni wale wateule wa magufuli waliopewa bilion kadhaa za kumaliza kesi? au majaji watatoka Ulaya? Kwa mahakama zetu kupeleka kesi ya makonda huko huku GSM wapo nyuma yake kuna kazi ya ziada
 
Nchi hii haihitaji vyeti cha muhimu tunahitaji viongozi jasiri kama Makonda, mbona kabla ya vita vya madawa ya kulevya hatukusikia habari ya vyeti. Mheshimiwa wa Rais Magufuli mwache Mkuu wa Mkoa wa Dar aendelee kukusafishia Dar Es sallam iliyokuwa imekuwa jiji la kimafia. Jamani tulifika pabaya inakuwaje mfanyabiashara kama Manji anaitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa lugha za kifedhuli kwa serikali kwasababu ana pesa.
Watu wanadai Makonda ameharibu sifa Na brand zao je wanakumbuka mwaka 1983 katika vita dhidi ya ufisadi kuna watu waliwekwa ndani kwa muda mrefu kwa tuhuma nyingi.
Sasa shule tunaenda kufanya nini!?
 
Mama weh! Sijui kama unajua ulichokiandika! "a e i o u" yenyewe umeletewa na wazangu!
Hatuishi kutegemea Wazungu jifunze kujua vitu nje ya box Wazungu si watu wa kuwategemea kwa kila kila kitu.

Na huo ndiyo UJINGA wetu wa Afrika kila kitu kizuti ni cha kizungu.

Africa ni Bara kubwa na lina kila kitu na tunaweza kufanya mengi tu kama tukitulia na kutumia uwezo aliotupa Mungu.
 
kesi kwa mahakama zipi? Jaji ni wale wateule wa magufuli waliopewa bilion kadhaa za kumaliza kesi? au majaji watatoka Ulaya? Kwa mahakama zetu kupeleka kesi ya makonda huko huku GSM wapo nyuma yake kuna kazi ya ziada
Mahakama ni Muhimili unaojitegemea wala hakuna shida ndiyo maana Estar Bulaya kashinda kesi dhidi ya Wassira.

Msigwa kashinda kesi pale Iringa hata Lissu kashinda kesi pale Singida

Mahakama haina upendeleo wowote
 
Hivi ndio kusema wenye nchi wamehalalisha kufoji vyeti na kutumia majina bandia kuomba kazi, pasi za kusafiria na mengineyo? Watoe tamko tu kwamba sasa ruksa watu wafanye yao!
 
Ha

Hakuna kesi Mahakamani ndiko angejibu hayo unayosema.

Halafu mwenye mtindio wa ubongo hawezi hata kuandika nayoandika.

Nenda fungua kesi dhidi yake ili akujibu mahakani.

Mungu ibariki Tanzania
Mbona hakuwafunguliwa kina Gwajima et al kesi mahakamani ili wajitete ? Mtindio WA ubongo WA mzungu ndio akili yako wewe na maccm wengi. Hujasikia kuwa zaidi ya 50℅ ya watu weusi IQ yao imejaa sehemu ambapo wazungu huanza kuwahsesbu watu wao kama wenye mahitaji maalumu ?
 
Ha

Hatuishishi kutegemea Wazungu hapaTanzania

Sisi tuna tuna maisha yetu na hatukuanza Leo ni miaka mingi sana hata kabla ya Uhuru.

Panua uwezo wako wa kufahamu tafadhali.
Wengine hatuna jinsi kwa kuwa ninyi wqtunga sera ndio mnatufanya tuwe tegemezi nashukuru wewe unajitegemea na watumia Android ya Koromije
Hongera sana
 
Back
Top Bottom