Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
 
Mtuhumiwa hana hata ubavu wa kukanusha! Kielelezo ni ukimya wa Mtuhumiwa! Kanuni inayokubalika kimataifa ni kuwa "kuzinyamazia tuhuma ni kukubaliana nazo"
Haiwezekani utuhumiwe kiasi hicho na ukae kimya halafu utegemee watu wasiamini kuwa tuhuma ni za kweli.
Mamlaka za kufuatilia tuhuma za jinai zipo na zenyewe kwa ishu ya Daudi Bashite ziko kimya!
Ila uzuri nikuwa Mungu hatakaa kimya! Maana Mungu hurudisha madhara ya uovu juu ya kichwa cha mhusika! Vinginevyo afanye toba ya wazi maana uovu uko wazi!
Tatizo tumebebeshwa akili na watu wachache.

Ukitaka vyeti nenda Ikulu utavikuta ndiyo mwajiri wake

Mimi na wewe ni wapiga kelele tu
 
Tuache upuuzi tujenge nchi kwa bidii
Nchi inajengwaje kwa style hizi za CCM kutumia pesa za viwanda kuziba watu midomo? Nchi inajengwa vp kwa kuchukua pesa hazina kienyeji kuwapa akina Lipumba wadhoofishe Wapinzani, huwezi kujenga Nchi kwa kuwafukuza watu CCM kisa mwaka juzi walimsapoti Lowasa, pesa nyingi ya viwanda imeenda Arusha kuzuia Lisu asichaguliwe kuna matumizi ya hovyo juu ya pesa za umma, Nchi itajengwa vp kwa mambo haya ya hovyo hovyo?
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Kwa mchungaji Katunzi
 
Ha
Wewe una mtindio WA ubongo.hata ueleweshweje huelewi. Paul C Makonda.ana vyeti hadi vya degree halali kabisa
Lakini form four alimaliza kama Daudi Bashite na alipata 0
Sasa aliwezaje kuendelea na certificate hadi degree tena kwa jina tofauti na alilosomea O-Level ?
Yeye athibitishe kuonyesha Cheti chake cha form 4 hata hicho cha Paul ili aumvuliwe kwa kuwa shule atayoionyessha kwenye cheti itakuwa wazi na waliosoma nae kama kweli watatoa maelezo. Wapi shida katika hilo misukule ninyi
Hakuna kesi Mahakamani ndiko angejibu hayo unayosema.

Halafu mwenye mtindio wa ubongo hawezi hata kuandika nayoandika.

Nenda fungua kesi dhidi yake ili akujibu mahakamani

Mungu ibariki Tanzania
 
Mkuu wa mkoa wa kwanza kuwa mzurulaji nje ya Nchi kwa mda mwingi pasipo kufanya kazi za Umma, anatumia jina feki kulipwa mshahara na jina feki kwenye passport.

Nchi za nje atadakwa tu na kuambiwa ni shushushu kumbe katumia jina la mtu bila kujua madhara yake outside Tz.
 
Pesa aliyotumia Daud Albert bashite kupangua Mawe na kuzurula Nchi mbalimbali ingetosha kujenga kiwanda na watu wangepata kazi humo, lakini Mkulu kaamua kuziba masikio kaweka ukabla mbele haambiwi hasikii.
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Kaja na bomu la kurusha, subirini.
 
Wabongo bwana kwahiyo vyeti vya Tanzania vinatolewa na mamlaka za Sauzi siku hizi? Ujinga ujinga tu!
 
Sasa kama hajachafua watu mbona kapigwa marufuku kutangaza watu bila ya kuwa na ushahidi.
Na kwa nini ajilize mpaka kumwaga kamasi?

Jiongeze ndugu yangu
Rais ameshateua Kamishina ambaye ndiye mwenye mamlaka kisheria.

Wengi tu wanalia kila siku makanisani kwa sababu zao sio Makonda tu inategemea umezama vipi kihisia ktk maombi yako.

Hakuna aliyepigwa marufuku kutaja majina ndo maana Sirro amemtaja Vanessa Mdee
 
ww upo mwezini au upo Greenland? Kama upo Tanzania ushahidi upi unataka? Mwambie boss wako atoe vyeti kama anavyo? Muulize kwa nini analia lia ksma mwanamke? iweje mtu mwenye vyeti akazurule makanisa mbalimbali akilia hovyo? Tambua kuwa mwanaume Jasiri hawezi kulia lia mbele za watu.
Hata Komandoo Analia itakuwa Makonda!!

Vyeti vipo Ikulu vilishakaguliwa enzi za Dr Kikwete na hata sasa Dr Magufuli hakuna shida wewe havikuhusu.
 
Back
Top Bottom