CV yake inagoma udanganyifu unaotaka kumfundisha!Wewe una mtindio WA ubongo. Umeambiwa Anayeitwa Paul C.Makonda. mpaka anamaliza Form four na kuipata 0 alikuwa anaitwa Daudi Bashite
Kama aliondoa jina lililompa 0 na kuanza shule tena kwa jina jipya la Paul C Makondda tatizo liko wapi akieleza na kuweka ushahidj kuwa hakununua cheti cha MTU Bali Alisoma kwa jina jipya ?!?!?
Rudia mada yako Mkuu wa Mkoa hajamchafua mtua.
Mkuu wa mkoa ni kuhusu vyeti ni msisitizaji tu Tangazo ni la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania
Sasa kama hajachafua watu mbona kapigwa marufuku kutangaza watu bila ya kuwa na ushahidi.Rudia mada yako Mkuu wa Mkoa hajamchafua mtua.
Mkuu wa mkoa ni kuhusu vyeti ni msisitizaji tu Tangazo ni la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania
Amekuja na vyeti
Daud hamna kitu pale nguvu za kiume hakuna ndiyo maana ana tabia za kike kulia lia live, mwanaume jasiri hawezi kulia mbele za watu kamwe.Mke wa nini? Nasikia jamaa kitandani pia anazungusha kama alivozungusha F4 yaani daraja sifuri. Kama mtu kaoa 2009 na leo ni mwaka wa 8 lakini BILA BILA yaani 0-0!!! Hakuna cha goli hata moja! Huko kwao usukumani huwa wanasema ukikuta mtoto wa kiume hana hata mtoto wa kusingiziwa mtaani ujue huyo ni towashi. Anavolala na mkewe ni sawa kalala na dume mwenzake!!
Hii nayo ni changamoto kwa Bashite na pengine ndo maana inamwongezea msongo wa mawazo kiasi kwamba ili kupunguza FRUSTRATIONS ndo maana jamaa kila siku anakurupuka ili kupunguza mawazo ya kukosa nyamunyamu na watoto.........!!!!!!
Una maana alienda kutakatisha vyeti huko?
Kwani wakati anaondoka kwenda Afrika kusini akikuaga?Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
ww upo mwezini au upo Greenland? Kama upo Tanzania ushahidi upi unataka? Mwambie boss wako atoe vyeti kama anavyo? Muulize kwa nini analia lia ksma mwanamke? iweje mtu mwenye vyeti akazurule makanisa mbalimbali akilia hovyo? Tambua kuwa mwanaume Jasiri hawezi kulia lia mbele za watu.Una ushahidi wowote au ndiyo umetekwa na akili za Mch Gwajima
Mhubiri mzuri nimependa mahubiri yako! Mbona hujawahubiri wale wa kijani waliokutana Dodoma na kuwahukumu watu waliokosa mwaka juzi 2015 kwa kuimba "tuna IMANI na Lowasa oya oya oyaaaaa!!!" Mbona hujawaambia wawe na roho ya kusamehe!Jamani wapendwa. Hebu yaishe muwe na roho ya kusamehe. Msiwe watu wa visasi. Tumeshasema basi wapendwa. Hakuna alie safi ndugu zangu. Kisasi sio chetu ni kazi ya Mungu. Kibehe
Julius Malema aliposikia yupo South Africa akasaka namba yake kampigia asepe haraka kabla hawajamkamata kwa kutumia passport yenye jina bandia.akili ndogo imerudi iendelee kuongoza akili kubwa?
Mbona umesahau mengine? Sema yote sio unasifia sifia tu sijui ni shemeji yako na ndo mliekuwa mnamtegemea? Sasa mtakufa njaa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi
Mchapa kazi na mbunifu.
Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake
Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya
Mbunifu wa ajira kwa vijana
Shujaa asiye tetereka
Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko
Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana
Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa
Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya
Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.
Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar
Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.
Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake
Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.
Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.
Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.
Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.
Laana ya mzee warioba inamtafuna hadi leo, huyo bonge kafanya mengi mabaya acha mungu amuonyeshe kuwa kuwakomoa watu si njia sahihi ya kuongoza jiji la Dsm.Ivi eti ni kweli paulo makonda ndiye aliye mpiga mzee warioba maana mimi sielewagi
Hiyo inaitwa amsha popo ili watu tusisahauHii litania vipi? Au imetungwa maalum kwa ajili ya kumpokea?
Bashite huyooooooEti anatuhumiwa na kesi kuripoti polisi au kufungua mahakamani hamjaenda.
Kituko cha mwaka
Watanzania kajengeni viwanda pia, mwanya upo kama kawa
Makonda oyeeeeeeeee