Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Kwani alipoondoka haikuwa kimya kimya?.....

Kutafuta umaarufu kupitia mtu ni kazi ngumu sana.
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Mbona walisema mapumziko ni miezi miwili?
 
Mkiambiwa mna tabia za kishoga mnalalama mnatukanwa, alivyoondoka alikuja kweu kuaga?
wewe na Daudi Albert ndiyo mna hizo tabia, boss wako kakosa hata mtoto wa kusingiziwa? ngoja Wajanja wachepuke na mke wake uone kama hajapata mimba ndani ya week tu, Mwanaume lijali huzaa watoto lakini boss wako kutwa kunywa viagra hana mtoto wala nini, analia lia hovyo mitaani, mashoga ndiyo hupenda kulia lia hovyo.
 
Rudia mada yako Mkuu wa Mkoa hajamchafua mtua.

Mkuu wa mkoa ni kuhusu vyeti ni msisitizaji tu Tangazo ni la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania
Vyeti vyake Mh Makonda anavyo Rais Dr Magufuli nenda kamuulize huko Ikulu utapata majibu.
 
Mkuu nguvu ya umma inatisha
Kaka si mchezo, ukiingia kwenye mji wa watu ingia kwa heshima, tafuta watu wakuelekeze namna ya kuishi katika mji huo, watakupeleka kwanza kwa wazee wa mji, pili kwa vijana wa mjini na tatu watakuelekeza njia ya kupita, haijalishi umeenda kijijini au ndani ya mji mkubwa
 
Sielewi! Wa kuweka vyeti ni wanaomtuhumu au mtuhumiwa aweke vyeti ili awaaibishe wanaomtuhumu? Kimya kingi kina mshindo mkuu!
Toka lini mtumishi wa umma akaweka vyeti ktk mitandao ya kijamii ili iwe nini.

Ukitaka vyeti vya Makonda nenda Ikulu utavikuta
 
Hv mkoa kama dar unakosa mkuu kwa wiki mbili sasa??? Aiseeee mangekimambi sio mtu mzuri yule dada
 
Kaka si mchezo, ukiingia kwenye mji wa watu ingia kwa heshima, tafuta watu wakuelekeze namna ya kuishi katika mji huo, watakupeleka kwanza kwa wazee wa mji, pili kwa vijana wa mjini na tatu watakuelekeza njia ya kupita, haijalishi umeenda kijijini au ndani ya mji mkubwa
Usemayo ni ya msingi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom