MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,368
Ikulu ni ileile na utaratibu wa vetting ni uleule sasa unataka niniSoma vizuri hoja husika acha kukurupuka
Ina maana baada ya kuteuliwa na Kikwete usukuma ukaondoka akabaki ni mkwere ?
Ikulu ni ileile na utaratibu wa vetting ni uleule sasa unataka niniSoma vizuri hoja husika acha kukurupuka
Ina maana baada ya kuteuliwa na Kikwete usukuma ukaondoka akabaki ni mkwere ?
Mtafute huyo Bashite sasa,sisi Mkuu wetu wa Mkoa ni Paul MakondaUshahidi Gani unataka ? Division zero imenukuliwa Toka NECTA na kuwekwa ikiwa na jina la Daud Bashite
Sasa wenzake kijijini kwao wanamtambua kama Daud.
Unayesema kweli anaitwa Paul wakati hata mwenyewe hajakanusha utakuwa mmoja WA Waafrika wenye mtindio WA ubongo
Hujiongezi
Mkuu hoja yangu inahusu vyeti vya mkuu wa moka wa DarHakuna aliyeshutumiwa ila waliitwa kwa mahojiano kuhusu madawa ya kulevya.
Na kama kama ni kushutumiwa wote wangukuwa arrested.
Na ndiyo maana Mh Mkuu Wa Mkoa Mh Makonda aliwataja na kuwaomba kuripoti kituo cha Polisi kati kati kwa mahojiano.
Kwa amani kabisa mahojiano yako ndiyo yatakayofanya uendelee kushikiliwa au uachiwe Hutu.
Tatizo lako umedakia hoja za watu wasio na ushahidi.Ningekuwa na vyeti feki ningekupa ushahidi Bahati mbaya Mimi Sina vyeti feki. Labda huelewi hoja husika hapa. Vyeti vya RC ni halali jwa kuwa vinetolewa na taasisi husika isipokuuwa cheti cha form alichotumia kuingia Chuo ni cha MTU mwingine aitwaye Paul Christian wakati RC majina yake aliyosomeahadi kidato cha NNE na kuipata 0 anaitwa Daud Bashite.nafikiri hata wewe ni zero brain
Wewe ni mkaguzi wa vyeti vya wafanyakazi au?Mkuu hoja yangu inahusu vyeti vya mkuu wa moka wa Dar
Vikao Ikulu nenda ukavioneTatizo lako umedakia hoja za watu wasio na ushahidi.
Weka vyeti mezani vya Paul Makonda tuone huo usemi wako wa vyeti fake
Hakuna aliyeshutumiwa ila waliitwa kwa mahojiano kuhusu madawa ya kulevya.
Na kama kama ni kushutumiwa wote wangukuwa arrested.
Na ndiyo maana Mh Mkuu Wa Mkoa Mh Makonda aliwataja na kuwaomba kuripoti kituo cha Polisi kati kati kwa mahojiano.
Kwa amani kabisa mahojiano yako ndiyo yatakayofanya uendelee kushikiliwa au uachiwe Hutu.
Mkuu wa Mkoa ambaye ni MunguMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi
Mchapa kazi na mbunifu.
Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake
Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya
Mbunifu wa ajira kwa vijana
Shujaa asiye tetereka
Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko
Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana
Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa
Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya
Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.
Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar
Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.
Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake
Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.
Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.
Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.
Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.
Hapana ni dhidi ya Daudi Bashite. Msanii Wa elimu.Hakuna mwenye mtindio wa ubongo Bali ni chuki binafsi zidi ya Paul Makonda
Hapana ni dhidi ya Daudi Bashite. Msanii Wa elimu.Hakuna mwenye mtindio wa ubongo Bali ni chuki binafsi zidi ya Paul Makonda
Nchi hii haihitaji vyeti cha muhimu tunahitaji viongozi jasiri kama Makonda, mbona kabla ya vita vya madawa ya kulevya hatukusikia habari ya vyeti. Mheshimiwa wa Rais Magufuli mwache Mkuu wa Mkoa wa Dar aendelee kukusafishia Dar Es sallam iliyokuwa imekuwa jiji la kimafia. Jamani tulifika pabaya inakuwaje mfanyabiashara kama Manji anaitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa lugha za kifedhuli kwa serikali kwasababu ana pesa.Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.
Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.
Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
hapa nilipo bold ndio ishu ya msingiKama Ni Kweli Karudi Kimya Kimya Halafu Atakuwa Kwenye Huo Uzinduzi Kurasini Basi Daudi Albert Bashite Paul Christian Makonda Atakuwa Na Sura Ya Mbuzi Yaani
Ila Najua Sasa Hivi Ataomba Poo! Na Maji Ataita Mma
Kuna Waliomdanganya Kuwa Upepo Upo Dodoma Kumbe Bishop Gwajima Kauwasha Tena.
Aonyeshe Vyeti Na Ashtakiwe
Mbayawenu karudi...subirini muwashiwe fireTunashukuru kwa taarifa na kuanzia kesho tunawasha moto hadi atoe vyeti
Mkuu ishu sio vyeti...!!! ishu hapa ni kuwa na cheti cha kufoji....Nchi hii haihitaji vyeti cha muhimu tunahitaji viongozi jasiri kama Makonda, mbona kabla ya vita vya madawa ya kulevya hatukusikia habari ya vyeti. Mheshimiwa wa Rais Magufuli mwache Mkuu wa Mkoa wa Dar aendelee kukusafishia Dar Es sallam iliyokuwa imekuwa jiji la kimafia. Jamani tulifika pabaya inakuwaje mfanyabiashara kama Manji anaitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa lugha za kifedhuli kwa serikali kwasababu ana pesa.
Watu wanadai Makonda ameharibu sifa Na brand zao je wanakumbuka mwaka 1983 katika vita dhidi ya ufisadi kuna watu waliwekwa ndani kwa muda mrefu kwa tuhuma nyingi.
hao wabunge hata wasipotimuliwa unadhani watabadili nini? wako wachache hawana nguvu yoyote wako bungeni kula posho tuhl suala la bashite kama watalipeleka bungen wanapaswa kuwa na evidence make kwa kulindwa huku hakika nawaambie wabunge weng watatimuliwa ktk bunge hl la bajet kwa kale kadada kenye uso disorganised kametumwa kaz maalum so wawe makn sana hasa wabunge wa ukawa kwa ujumla wao! wawe na vielele sio kukurupuka 2 tafadha wabunge wa UKAWA kuwen makn mkifukuzwa yasije tokea kama ya 15% sasa wafanyakaz wanalia haf sizonje hana habar nao. lkn hl n somo tosha kwa wafanyakaz ambao wanafanyakaz kwa bidii huku wananung'unika bila action yoyo il hal TUCTA wanakula kod daileeee bila tamko lolote kwan chao wanakipata kama kawa!