Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,530
- Thread starter
- #81
Kuna mfano mmoja nilitoa kuwa inasemekana kuwa watu wa Ulaya wanapenda sana process (how you do things). Kwa upande mwingine waMarekani wanapenda results (How you accomplish things).
Attitudes hizi kwetu hatuna. Tunapenda tu kuzungumza big things and big Ideas.
Kama tuna nia ya kweli kwa kushikamana na kwa ujumla bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, tunaweza kuunda mfumo wetu wa ProcSult ambayo ni blend ya Process na Results!