mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,041
- 35,929
- Thread starter
- #201
Usijilinganishe na nchi za ulaya bloo.huku ili utoboe shartti uwe timu ya wapigaji wa juu,uwe na majungu,kujipendekeza,ushirikina kazini nk,kuna wazee kibao walikuwa waadilifu na wachapa kazi ila mwisho wao haukuwa mzuri sababu hawakuwa na hizi sifa nilizotajafundisho kwa vijana tubobee na kufanya kazi kwa juhudi utazeeka kwa raha. naona nchi za wenzetu wazee wanakufa bado hawahitaji msaada wa kiuchumi kutoka kwa watoto wao.