babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
We fala utopolo wahediWe mikia acha ujinga basi,ofisi ya umma ina ukomo wa umri kutumikia unakuja na stori za onyango nusu mtu nusu jini
Nani alikuambia Mpira sio Ofisi?
We fala utopolo wahediWe mikia acha ujinga basi,ofisi ya umma ina ukomo wa umri kutumikia unakuja na stori za onyango nusu mtu nusu jini
Ni kweli sio vyema kumsema marehemu lakini lipo Jambo la kujifunza au kuuliza hapo kwa faida ya wengi. Kwa sababu ilkuwa sio rahisi watu kujua umri wake wakati akiwa hai, Sasa wamefanikiwa kujua umri wake baada ya kuandikwa tarehe ya kuzaliwa kwenye msalaba ndio mleta thread anataka kujua ilikuwaje akaendelea kutumikia ofisi wakati ilibidi astaafu Miaka nane iliyopita? Hatuwezi jua lamda kunasheria ilimpa uwezo wa kuendelea, au raisi alikuwa na mamlaka ya kubadilisha kustaafu kwake au chochote kile ilimradi kiwe na mantiki ili watu kujifunza yaliyojificha kwenye Sheria za watumishi wa uma.Mwacheni apumzike. Haya ulikuwa na uwezo wa kuyasema akiwa hai.
Hao waendakuzimu walijuana kwa "kuila Tanzania".Kulinda masilahi
Serikal iliwah kupitisha ruhusa kwa kada flan kuendelea kufanya kwa maana ktk serikal baada ya ule umri wa kustaafu kufika ..nafikir pia ilikuwa kwa wanazuoni Dkts,profs ..nafikir na exceptional professionals .....correct me if i am wrongKuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.
Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.
Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kaOngea ysiku zoteke s
Info yako ina walakin.Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Si kweli, amesoma nyuma yangu chuo kikuu huko India na Uingereza.Huo ni mwaka wa msalabani,aliocheza nao wanashangaa wanajua kazaliwa 1950,
Sababu ya msingi ni mtu kuwa na uwezo mkubwa wa kazi. Urais mtu anaongezewa baada ya katiba kurekebishwaUsichanganye mada,katiba inasema Urais ni vipindi viwili nyie mkataka atawale milele,kwenye utumishi wa umma sheria ya kazi(sio katiba) ni miaka 60 unless kuna sababu za msingi ndio unapewa mkataba miaka miwili miwili
Anapoongezewa mkataba ulitaka wakupigie simu kukupa wewe taarifa?Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Sikumwelewa Mwendazake kwenye moja ya hotuba zake za mwisho akiwa kwenye uzinduzi wa daraja la Kijazi kama sijakosea, alisema "...namwomba Mungu asimchukue Mhehe huyu kabla hajamaliza kazi za ujenzi zinazoendelea nchini..."Kuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.
Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.
Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kazi.
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Nimeona kwenye picha ya jeneza alizaliwa 1953.
Alikuwa muhimu sana wewe fikiria kadesign madaraja 1500 ya juu na ya chini. Huyo mtu unamuachaje?
Any law has an exception in it mkuu /upo hapo ! Huwez kumtoa Mfugale kisa amefikia umri wa kustaafu na ukamweka kanjanja ili apige fedha za umma a big NO
Kuna maengineer wengi vijana tena wazuri mno. Tena wa kisasa siyo huyu old gold!!!!