Mr Anold
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 218
- 46
Hospitali ameenda sana mkuu. Madaktari walimshauri atumie tiba mbadala tofauti na upasuaji kwa hoja ya kwamba hata akifanya upasuaji uvimbe utarudi.aende hospital....wajue..ni.nin.kwanza...haya maswala ya kutulia na uvimbe mda mrefu sio dili.....ushauri...tu... Coz wagonjwa weng wanakuja hospital baada ya miti shamba kugoma
Walimshauri abadili life style, asiwe na msongo wa mawazo na pia ale mlo kamili pamoja na mboga mboga kwa wingi.