Unajuaje kakaa kimya? Mbona alishatoa taarifa?Inaweza kuwa kweli passport yake imeibiwa au imepotea, Hilo analijua yeye. Lakini kitendo Cha kukaa kimya bila kutoa taarifa Hadi alipokutana na Rais na kumuomba msaada amsaidie hakijakaa vizuri.
Vinginevyo angesema amepata vipingamizi Gani na akiba nani wanamkwamisha kupata passport yake.
Hivi umesahau Sokoine alifukuzwa kazi kwa kwenda kumuona Lissu hospitali?
Unafikiri naji katika Ubalozi atampa passport Lissu bila Rais Samia kusema?