Part 1: TISS bado safari ngumu

Part 1: TISS bado safari ngumu

Naishi Australia, hapa hakuna vijiwe wala vilinge kila mtu yupo busy, ni bora ungekaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako humu, TISS kupeleka Majasusi upinzani wapate Taarifa za CHADEMA kuna faida gani kwa nchi? Kwa nini wasipeleke spies Japan wakaibe technology za kutengeneza magari ili nchi ipae kiuchumi, habari za Siri za CHADEMA zina maslahi gani kwa nchi?
Wewe ni zero brain kabisa, kwanza mada yangu hujaielewa, mtu mjinga Kama ulivyo wewe eti unakuta ni agent wa TISS, pathetic kabisa.
Huyu hukutakiwa kumjibu maana unapaisha anajiona amejibiwa na mtoa mada atajisahau mjinga huyo,, mpotezee ajue ni mpumbavu
 
Kazi kubwa tuliyonayo kama Taifa ni kufanya kila liwezekanalo kulitenganisha Taifa letu ndani ya hili dude linaitwa CCM.

Taasisi zote nyeti zimejaa ma kada wafia chama, hii ni hatari kwa uhai wa taifa letu.

CCM na serikali yake si Taifa; Taifa ni ujumla wa wananchi wote.

Uzalendo wa kweli unatoka ndani ya Taifa...wananchi wakiwa wamoja na haki inatendeka katia taifa basi uzalendo nao unajipenyeza kwenye mioyo ya wananchi wote.
 
My son drink maji what you think is so irrelevant.

Mind you things are not working out that way.

We always do a very serious screening before we come up with the list of people that we wanna deploy in our department.

The screening is done with a very close supervision of people whose identity cant be revealed in public/jf.

So keep calm my dear son
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
Tiss ni mbovu toka enzi ya kikwete ,habari nyingi zilivuja na kufanya gazeti la mwanahalisi kujichukulia ujiko kisa uzembe wa baadhi ya maafisa usalama wa taifa
 
Yani ukisoma humu michango ya watu wanaweza fikiri kila mtu humu ni TIS maana kila jambo wanajua na wao wako sahihi kabisa kwa kila jambo ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtanzania akiumwa upele tu akatibiwa kwa dawa ya hospitali, siku akiwakuta Madaktari bingwa wa ngozi (dermatologists) wanajadiliana atataka naye ajichanganye atoe mada. Ndio tulivyo.
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
Tiss ilianza kubomoka enzi ya awamu ya nne ,hata Magufuli kaingia kaikuta hovyo tu.
Enzi hizo mpaka kulifanya gazeti la mwanahalisi kushaini kwa taarifa kemkem ilikua ni baadhi ya wanasiasa kupenya ndani yake ,hivyo kutumia kitengo hicho kumalizana wenyewe kwa wenyewe
 
Nchi ilishapoteza mwelekeo usitegemee taasisi zake muhimu zitakuwa na mwelekeo wowote.

Taifa la wasindikizaji na wapiga mbinje tu
 
Kuna yule mhuni aliyemtolea Bastola Zitto bungeni na kutishia kumuua kwa kauli. Huyo ni mmoja wa wahuni ambao bugiri alilazimisha waajiriwe TISS pamoja na kutokuwa na sifa hata moja ya kuajiriwa pale. Hilo kundi la wauaji la wasiojulikana wengi wao ni wahuni ndani ya TISS.

uko sahihi , kuna mmoja alijifanya muuza madafu kumbe ni TISSCCM kutoka uvccm
 
Chukulia mfano amebanwa korodani na koleo kutakiwa atoe Ushahidi kuthibitisha anao? Andiko lake limejaa story za vijiweni kuanzia mwanzo Hadi mwisho.
Wewe ukibanwa korodani na koleo ukaambiwa utoe ushahidi wa pumba unazokuwa unaanika humu kuhusu upinzani ndo utaweza sasa kutoa?????nyani haoni kundule
 
Ndio majukumu yenyewe ,ulitaka wajae ufisini wapige soga

Ni kweli kabisa wapo ktk majukumu yao ya kuhujumu nchi NA maslahi mapana kabisa ya wananchi wake.
Tatizo kubwa zaidi tulilonalo wananchi wa Tz ni ufukara uliokithiri ambao umesababisha hali mbaya ya kiuchumi, tulitarajia kuwaona "hao" wakihangaikia namna yà kukuza uchumi wa nchi badala ya kudhoofisha vyama vya siasa jambo ambalo halina tija yoyote KWA maslahi mapana ya umma.
 
Sasa hivi ukiangalia mambo yanayofanywa na hawa jamaa na jinsi wanavyofanya, kuanzia utekaji, mauaji, utesaji, matukio yenye lengo la kuipa popularity mamlaka, ni wazi huko kwenye hiyo idara wamejaa low minds ambao naamini hawana msaada wowote wa maana kwa Taifa. Mizania ya hasara na faida ya hawa watu kwa hapa kwetu, kwa sasa inalalia kwenye hasara.
 
Naishi Australia, hapa hakuna vijiwe wala vilinge kila mtu yupo busy, ni bora ungekaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako humu, TISS kupeleka Majasusi upinzani wapate Taarifa za CHADEMA kuna faida gani kwa nchi? Kwa nini wasipeleke spies Japan wakaibe technology za kutengeneza magari ili nchi ipae kiuchumi, habari za Siri za CHADEMA zina maslahi gani kwa nchi?
Wewe ni zero brain kabisa, kwanza mada yangu hujaielewa, mtu mjinga Kama ulivyo wewe eti unakuta ni agent wa TISS, pathetic kabisa.
Mpe za uso huyo boya,hajielewi kabisa,mawazo yake masaa 24 ni ccm tuu bas,mambo ya taifa kwanza hayapo akilini mwake,unaluta eti huyu nae ni agent huko!
 
Taasisi nyingi za nchi hii zimejaa useless dogs.
Sasa hivi ukiangalia mambo yanayofanywa na hawa jamaa na jinsi wanavyofanya, kuanzia utekaji, mauaji, utesaji, matukio yenye lengo la kuipa popularity mamlaka, ni wazi huko kwenye hiyo idara wamejaa low minds ambao naamini hawana msaada wowote wa maana kwa Taifa. Mizania ya hasara na faida ya hawa watu kwa hapa kwetu, kwa sasa inalalia kwenye hasara.
 
Usalama wa Taifa wa Tz huwa wanaviloja mkuu, kuna mmoja nlikutana nae hospital ni pale Posta mtaa wa mtendeni kwa Dr. Hassanali. Jamaa kaja hospital kakuta foleni, kaona dah muda unaenda ntachelewa. Mwanawe ndo alikuwa anaumwa, basi jamaa likaamua kukunja sura likaenda mpaka pale mapokezi likajitambulisha kwa yule mdada kwa cheo chake cha usalama wa taifa. Yule msita akawa anamnyenyekea na watu tukaanza kumchora huyu bwana kumbe ni big huko majuu, lenyewe likaona sifa na upara wake
Ukikutana na gari ya JWTZ inaelekea muelekeo tofauti na barabara, utaipisha au utabaki barabarani kwasababu uko kwenye sheria!? Kwaufupi, wewe kama raia, you are lacking information..hujui huyo jamaa kama ni single parent au ana mke..hujui kama anahitahija kwenye mission au anarudi kwenye operesheni..jifunze kuwa composed, jitahidi kuamini kuwa alilazimika kufanya hivyo kwa sababu maalum, sio kwa kujikweza..unless alikwambia kuwa anauwezo kuruka foleni sababu yeye ni afisa...
 
Huyo atakuwa kwanza ni kada kapandikizwa kama alivyokuwa Kitila
Nauliza tu hakuna mpinzani aliyeko kwenye makaratasi ya malipo ya TISS? Maana hapo juu umesema haiwezi kuajiri wapinzani
 
Hizi kweli ni stori za Vijiweni
1. Afisa wa TISS huwa hajitanbulishi popote hata kwa mwenza wake wala wanawe. Katika mazingira yoyote Yale hawezi kujitamulisha kwa cheo wala kazi yake bali kazi mbadala
2. Huwa wana marafiki katika sehemu mbalimbali za huduma ambako hawafahamiki kama TISS hivyo anaweza kufanikisha matibabu kwa mwanae bila foleni wala kubembeleza mapokezi.
3. Kama Ulikuwa kwenye foleni naye akapitilisha kwenda mapokezi, sio rahisi utambue alivyojitambulisha


Labda hayo uloorodheshwa ni kwa mujibu wa utaratibu wa kwenye makaratasi yao na siku wanapoapa kuitumikia taasisi..... sasa ndo maana watu wanataka reform ya icho kitengo kwa kuwa huku mtaani tunapata tabu sana kutoka kwao, kila "mtaasisi" anajitapa na inakuwa ngumu sometimes kupata taarifa sahihi....

mapungufu kama hayo yamekuwa obvious ndo maana watu wanapendekeza...... wengi tunakutana na "wataasisi" na tunajua vurugu zao...... labda wewe sio mtu wa kujichanganya kwa sana
 
Kuna kitu sensitive nilkua nimeandika lkn kwa upumbavu wa watu waliopo huko nimamua kufuta. Maana hawachelewi kupiga hodi kwa Melo kuomba faili.

Mwagika jombaa...... usiogope kupasuka..... saivi moga ishwamwagwa kinachofuata huku kitaa ni kusepa na ugali tu.... ila uwe na hakika na unachokinena😱
 
Back
Top Bottom