Part 1: TISS bado safari ngumu

Kuna nzi mmoja wa kijani mfia chama cha mboga,akili nzito,mburula eti naye ni member wa Tiss yaani mpaka leo najiuliza Sasa mm nikiomba kazi hii si ntakuwa boss wao?Mungu atusaidie watz turudi kwenye mstari.
Kule wajinga ndio wanahitajika
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA










I ll be back npo back bench
 
Kuna nzi mmoja wa kijani mfia chama cha mboga,akili nzito,mburula eti naye ni member wa Tiss yaani mpaka leo najiuliza Sasa mm nikiomba kazi hii si ntakuwa boss wao?Mungu atusaidie watz turudi kwenye mstari.
Nani
 
Back
Top Bottom