Part 1: TISS bado safari ngumu

Part 1: TISS bado safari ngumu

Mm nawajuwa vijana wengi tu idarani, uwezo wao ni mdogo sana hasa kwenye swala la "USIRI" mkibishana kidogo tu kuhusu mpira au siasa kidogo tu anatoa kitambulisho.
Mkikamatwa na Traffic police hata kwa kosa la wazi anatoa kitambulisho. Sehemu yoyote yenye kufuata folen kama hospital, bank, ect... Wanatoa vitambulisho.
Binafsi naamini nina uwezo mkubwa sana wa kutoa ushauri kwa hawa vijana wadogo waliongizwa sehemu nyeti kama hii na ndugu zao.
 
Na wewe usitubabaishe na Australia yako.Kujua Siri za chama hujui maana yake? Kama chadema mfano inataka kupindua nchi kwa kumwaga damu za watanzania unataka TISS wasijue? au chadema Ina kikundi Cha magaidi wa kimataifa wenye mpango wa kutaka kulipua Australia unataka TISS wasijue eti ohhh huko kila mtu Yuko busy ya vyama hayawahusu uongo mtupu kweli maskini akipata shida hadi marekani wanajua Kuna vyama vya siasa vya kigaidi nchi zingine na wanaviweka kwenye list kabisa.Chadema na vyama vyote vya siasa pote duniani hawakuwepi.mikono ya TISS hata huko Australia lazima wawemo kwenye vyama.Australia Austaralia ha ha ha ha!!!!! Mtu uko buguruni kwa kimbegele unajitia uko Australia
Ushamba na ujinga ni hasara kubwa mno, yaani wewe zero unaiona Australia Kama pepo kiasi kwamba ni ajabu mimi kuwa hapa?
Ubongo wako umeathirika na umaskini wa asili kutoka kwenye ukoo wenu.
Uliona wapi Duniani chama kinachofanya siasa za kistaarabu kikamwaga Damu?
Uwepo wa TISS ndani ya CHADEMA,ni ujuha na uoga wa hali ya juu na mkakati wa CCM kuzima nguvu za CHADEMA kwa sababu ndo chama chenye nguvu kubwa za upinzani Tanzania nzima.
Eti CHADEMA wanaweza kumwaga Damu, yaani hapa ndo inaonyesha kiasi gani ulivyo lijinga, kwa hiyo CHADEMA wana ghala la silaha na kambi za jeshi?
Au watamwaga Damu na kulishinda JWTZ kwa kutumia mawe?
Hapa Duniani, kosa vyote lakini usije kukosa akili, ndo maana mnanunua ndege mbovu Canada Halafu mnazipokea kwa ngoma [emoji116]
tapatalk_1566533592690.jpeg
 
Tangu waninyime hii nafas ya kipilimba ambayo waliniahidi nimewasusia toka jana yani sijawabrief any current intelligence info kutoka ukanda huu wa Skendinevia. Nataka sasa hivi wanirudishe nyumbani kijitonyama nimechoka kubeba boksi

Mkuu

Karibu bongo

🙂🙂
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
Na wewe umezidisha chunvi. Nchi ni nini na wanasiasa ni nani?
 
Hamna tofauti Mkuu. Kwani Waziri mwenyewe wa Mambo ya Ndani anazunguka nchi nzima akinadi ilani ya ccm. Hapo anawaambia/anawaasa Askari wetu wafanye nini??
Hivi Tanzania kunatofauti kati ya CCM na serikali?
 
Naona mkuu umedhamiria kufanya jambo fulani..


Naamini mpaka "part three" ifike tutakuwa tunanena kwa lugha moja.
 
Wapo wengi tu, TISS imepandikiza mamluki wengi sana kwenye vyama vya siasa, taasisi mbalimbali za Serikali na za binafsi, hasa ktk awamu hii.
Ni kweli Mkuu kwani hata lile sakata la vyeti feki lililenga kuhakikisha nafasi za ajira zinapatikana ili kuwajaza hawa Jamaa Wasiojulikana.
 
Comment BORA ya MWAKA 2019 hii.[emoji122][emoji122][emoji122]
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
 
Hahaha [emoji23][emoji23]. message sent
Mm nawajuwa vijana wengi tu idarani, uwezo wao ni mdogo sana hasa kwenye swala la "USIRI" mkibishana kidogo tu kuhusu mpira au siasa kidogo tu anatoa kitambulisho.
Mkikamatwa na Traffic police hata kwa kosa la wazi anatoa kitambulisho. Sehemu yoyote yenye kufuata folen kama hospital, bank, ect... Wanatoa vitambulisho.
Binafsi naamini nina uwezo mkubwa sana wa kutoa ushauri kwa hawa vijana wadogo waliongizwa sehemu nyeti kama hii na ndugu zao.
 
Huna lolote , Mshamba mkubwa weeee !!!!

Mlikosa vya kufisidi baada ya kufisidi viwanda vyote na mashirika yote ya umma aliyotuachia Baba wa Taifa na 2014/2015 mkaishia kuuza nchi kwa Oman na China kwa miaka 99+!! Mtaisoma namba na nyumba zote mlizojigawia lazima zirudi serikalini, time will tell, since Nyerere II yupo kazini, Rais Dr Magufuli!!!
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
Bravo GT.
 
Mambo yamebadilika sana yaani watu tunajadili masuala ya TISS rahisi rahisi tu [emoji16].
Miaka ile ya akina mzee Apson unaweza kukaa hata mwaka mzima na usikutane na habari ya TISS.
Walau miaka ya mzee wangu mzanzibar Othuman na msaidizi Balozi Jack Zoka tulikuwa tunasikia habari za idara walau Mara mbili kwa mwaka lakini miaka hii kila siku tunajadili TISS.
Sisemi kuwa ni jambo baya lakini kwa asili ya idara yenyewe na mambo yanayojadiliwa nadhani aidha idara imekuwa wazi sana au wasiotakiwa kujua masuala ya TISS basi wamejua habari nyingi kupitiliza.
Ufanisi wa idara hizi popote duniani umejengwa kwenye "usiri wa kutotabirika" kwenye mipango yake na mfumo wake wa kiutendaji.
Ukweli ni kuwa kuna mpasuko mkubwa ndani ya idara yenyewe hence leakages za dondoo kutoka ndani zinakuwa zikivuja kiurahisi, nadhani tatizo kubwa liko kwenye vetting.
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
Thanks so much, asante kwa hili, kumbe kipilimba alikuwa na mzee wa kanisa,na hizi tabia baya za tiss, kupotea kwa azory, ben saa nane, na kupigwa risasi tundu lissu kulifanyika kwa maangizo yake, kweli kanisani kumejaa manafiki.na lingine ni kweli kina kina cia, mossad na m16 hawafanyii wanasiasa kazi LA, wanafanyia mataifa yao kazi.hii tiss ya leo imejaa wanafiki wa uvccm, na wengine hata kazi hawaiuji kabisa, umeongea ukweli mtupu mku, safari ni ndefu kwa tiss
 
Mambo yamebadilika sana yaani watu tunajadili masuala ya TISS rahisi rahisi tu [emoji16].
Miaka ile ya akina mzee Apson unaweza kukaa hata mwaka mzima na usikutane na habari ya TISS.
Walau miaka ya mzee wangu mzanzibar Othuman na msaidizi Balozi Jack Zoka tulikuwa tunasikia habari za idara walau Mara mbili kwa mwaka lakini miaka hii kila siku tunajadili TISS.
Sisemi kuwa ni jambo baya lakini kwa asili ya idara yenyewe na mambo yanayojadiliwa nadhani aidha idara imekuwa wazi sana au wasiotakiwa kujua masuala ya TISS basi wamejua habari nyingi kupitiliza.
Ufanisi wa idara hizi popote duniani umejengwa kwenye "usiri wa kutotabirika" kwenye mipango yake na mfumo wake wa kiutendaji.
Kutokuwepo kwa huo usiri ndio moja ya sababu tunataka tiss ifumuliwe. Imekua dhaifu.
 
lkn suala la usalama wetu wameupa kipaumbele kikubwa, hapo tuwapongeze sio kuponda kila kitu jamani
 
Ushamba na ujinga ni hasara kubwa mno, yaani wewe zero unaiona Australia Kama pepo kiasi kwamba ni ajabu mimi kuwa hapa?
Ubongo wako umeathirika na umaskini wa asili kutoka kwenye ukoo wenu.
Uliona wapi Duniani chama kinachofanya siasa za kistaarabu kikamwaga Damu?
Uwepo wa TISS ndani ya CHADEMA,ni ujuha na uoga wa hali ya juu na mkakati wa CCM kuzima nguvu za CHADEMA kwa sababu ndo chama chenye nguvu kubwa za upinzani Tanzania nzima.
Eti CHADEMA wanaweza kumwaga Damu, yaani hapa ndo inaonyesha kiasi gani ulivyo lijinga, kwa hiyo CHADEMA wana ghala la silaha na kambi za jeshi?
Au watamwaga Damu na kulishinda JWTZ kwa kutumia mawe?
Hapa Duniani, kosa vyote lakini usije kukosa akili, ndo maana mnanunua ndege mbovu Canada Halafu mnazipokea kwa ngoma [emoji116]View attachment 1207302
Mkuu nafikiri humjaelewana vyema na huyo jamaa.
Usalama wa nchi yeyote upo hivyo. Lazima uwe na mashushushu kila mahali. Iwe nje ya nchi, misikitini, makanisani, vyama vya siasa, kwenye kila taasisi, shule, nk.
 
Mambo yamebadilika sana yaani watu tunajadili masuala ya TISS rahisi rahisi tu 😁.
Miaka ile ya akina mzee Apson unaweza kukaa hata mwaka mzima na usikutane na habari ya TISS.
Walau miaka ya mzee wangu mzanzibar Othuman na msaidizi Balozi Jack Zoka tulikuwa tunasikia habari za idara walau Mara mbili kwa mwaka lakini miaka hii kila siku tunajadili TISS.
Sisemi kuwa ni jambo baya lakini kwa asili ya idara yenyewe na mambo yanayojadiliwa nadhani aidha idara imekuwa wazi sana au wasiotakiwa kujua masuala ya TISS basi wamejua habari nyingi kupitiliza.
Ufanisi wa idara hizi popote duniani umejengwa kwenye "usiri wa kutotabirika" kwenye mipango yake na mfumo wake wa kiutendaji.
Sasa na we we ,kama rais wako anawatambulisha ovyo ovyo kwenye mikutano yake ya kisiasa sisi ni nani hata tusiwajadili hao TISS CCM
 
Back
Top Bottom