Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,544
- 4,472
Jamani hao pccb nao Ni secret service au wao tofauti?Hapo namba moja: hata raisi mwenyewe alimtambulisha kuwa yeye ni TISS Diwani wkt anampa ukurugenzi wa PCCCB sasa wewe unategemea nini...????
Jamani hao pccb nao Ni secret service au wao tofauti?Hapo namba moja: hata raisi mwenyewe alimtambulisha kuwa yeye ni TISS Diwani wkt anampa ukurugenzi wa PCCCB sasa wewe unategemea nini...????
Haha DahWe jamaa una akili kinoma bana
Me nakupa dada yangu
Usalama wa Taifa wa Tz huwa wanaviloja mkuu, kuna mmoja nlikutana nae hospital ni pale Posta mtaa wa mtendeni kwa Dr. Hassanali. Jamaa kaja hospital kakuta foleni, kaona dah muda unaenda ntachelewa. Mwanawe ndo alikuwa anaumwa, basi jamaa likaamua kukunja sura likaenda mpaka pale mapokezi likajitambulisha kwa yule mdada kwa cheo chake cha usalama wa taifa. Yule msita akawa anamnyenyekea na watu tukaanza kumchora huyu bwana kumbe ni big huko majuu, lenyewe likaona sifa na upara wake
[/QUOTEwewe muongo TISS hawezi kujitambulisha kama polisi au mwanajeshi umefeli rudi tena
Hakuna kitu kama hicho TISS always wanakuwa undercoverHizi kweli ni stori za Vijiweni
1. Afisa wa TISS huwa hajitanbulishi popote hata kwa mwenza wake wala wanawe. Katika mazingira yoyote Yale hawezi kujitamulisha kwa cheo wala kazi yake bali kazi mbadala
2. Huwa wana marafiki katika sehemu mbalimbali za huduma ambako hawafahamiki kama TISS hivyo anaweza kufanikisha matibabu kwa mwanae bila foleni wala kubembeleza mapokezi.
3. Kama Ulikuwa kwenye foleni naye akapitilisha kwenda mapokezi, sio rahisi utambue alivyojitambulisha
Achana na hizo old ideologies miaka ya 90 mgejadilia wapi?? kwenye magazeti?? au kwenye redio au kwenye mkutano?? Unashindwa kujua kuwa teknolojia imetukusanya pamoja watu wa aina mbali mabli na wenye kada mbali mbali na kwa pamoja na kwa ya muda huohuo tunajadili??
Watu kama nyie ndio mliokuwa watumishi wa TISS chini ya Zoka na Huyo Othmani ambao hata akili ndogo tu hamna, ila mnashangaa watu kujadili TISS ambayo hata sheria yake iko wazi na inajadirika. Kweli TISS yenu ilikuwa ya hovyo sana.
Tiss imekuwa kama polisi wa uchunguzi, wanalewa na kujisifu, UVCCM inatia aibu, kila mtu anajua 90% ni UVCCM aibu tupu
rudi moja mkuu[emoji16][emoji16]Kuna watu kwenye discussion za BREXIT alipoingia Boris Johnson na mikwala yake wakadhani ndio mwisho huyu bwana atawatoa kama alivyoahidi with or without a deal, ‘no ifs no buts’ kwa kauli yake.
Nikawa nawaambia senior civil servants wa nchi hiyo wakisema kutoka bila ya deal is not in the national interest, ata kama awana mandate ya maamuzi ya mwisho watavuruga mambo kwa mbinu zao mpaka PM arudi kwenye mstari wanaoutaka wao.
Boris Johnson wa leo sidhani kama anaweza sema tena awatoa bila ya deal.
Walifanywa kuwa hovyo wakati wa rais corrupt Boris Yeltsin kwa ushauri hovyo wa makusudi wa waliomdanganya kuwa ni marafiki zake nchi za magharibi.Siku hizi ni FSB tatizo lao ni corrupt sana. Russia wangekuwa mbali sana isingekuwa corruption na transparency.
It’s on the same premise regarding the role of security agencies and the protection of national interest without entertaining politicians and their adventurous wishes.rudi moja mkuu[emoji16][emoji16]
Mkuu Tanzania yenye TISS haipo dunia moja na nchi zenye CIA,Mossad na MI6 na wengine,Tanzania ipo dunia ya pekee yake ndo maana kwa sasa inaongozwa na kiongozi wa malaika mtarajiwa,he katika pitapita yako duniani umewahisikia kiongozi wa nchi yoyote including Israel akitamani Siku moja kuwa kiongozi wa Malaika?our priority number 1 is cvm,2 ccm and 3 ccmKuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.
TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.
TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.
TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.
Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.
Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.
Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...
INAENDELEA
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.
TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.
TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.
TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.
Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.
Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.
Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...
INAENDELEA
mbona umepost kwa jazba, nina mashaka lazma utakuwa mtumishi wa TISS uliyeumizwa si bureKuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.
TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.
TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.
TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.
Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.
Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.
Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...
INAENDELEA