Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Ushaambiwa ndiye alikua mshauri mkuu WA papa Francis, Hata ajenda za ushoga alizokua alizitamka Kila mara, tunapaswa kuamini aliemshauri ni yeye.

Maana hakuwai kujiuzulu wadhfa wake (Kama mshauri mkuu) Wala kuzikemea Kwa cheo chake kingine (Kama kiongozi mkuu wa makardinari)
Na kasema anafwata nyendoo za papa alieomdokaa
Ubaya ubwelaa mpwaa
 
YAANI WAKATI MNAHANGAIKA TOKA JANA NANI PAPA ANAEFWATA

MWENZENU TRUMP ALiKUA ANAWACHEKA NA MOSHI WENU AISEE HIVI SASA WATUPE WA BLUE HIZI NYEUSI NYEUPE ATUTAKI TENA

Nahisi alikuwa anaulizia hamjamalizanaa pls fastaa

Trump de tarrif. De la Pope
 
Trump kashinda tarrif mpaka kwenye uchaguzi WA Pope

Hapa HATA china haion ndani kapigwa ,200%

Potelea mbali alafu akamalizia mazunagumzo yanaruhusiwa
Makady wakaona usiwe taabu kivile YAISHE mkuu

ENDELEEN kubishana nae Huyu mwamba mtanielewa siku moja
 
Kwamba pia uchaguzi wa papa nao haukua huru na Haki?
Mpwaaaaa kwa Ile pichaaa ya Asbh ya trump na vazi lakeeee

Mpwa HAPO Cas karudisha kesi
FFT Wakatangaza

Ile nyeusi
Mara nyeusi Tena

Mar a nyeupeee Ile kuna waliogoma.kuingia uwanjani wakahhirisha WAKARUDI wakamaliza kazii

Napata ka wine kangu kamebarikiwa na Pope

Matokeoo
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢


Kuna tofauti kubwa sana kati ya MUNGU na dini 👉dini Ndio iliyompinga kristo na mwisho kumsulubisha

Bahati mbaya watu wengi wanafuata dini wakidhani wanamfuata MUNGU.
 
Inaweza kuwa hivyo ilivyo ila kuhusiana na kuwa mshauri WA hayati sifikiri kama ilivyokwa Rais na Makamo ila labda alikuwa moja ya mawaziri.

Ukileta nadharia ya Trump tar 3.5.2025 na kilichojiri 8.5.2025 utahisi kuna namna ila inaweza kuwa NI Mungu alimtumia Trump kufikisha ujumbe kwa Jamii.

Misimamo kuhusiana na mashoga na Jamii zao inahitajika hekima Sana ,lasivyo utaacha ombwe.
 
Back
Top Bottom