Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Anawajua maaskofu wote na makadinali dunia nzima

Hapo utajua wana maana gani
Ni kama wamembeba na inaonekana kulikuwa na mvutano mkubwa sana ndio maana ikachelewa

Hivi kuchaguliwa na mnaojuana si ndio rushwa tu hiyo ama
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Kila kwenye ubaya na uzuri pia upo, huenda ukawa ni mwanzo mpya wa kuujua ukweli juu ya hii taasisi iliyokuwa imara kwa karne kadhaa.
Itatoa mwanga kwamba ni taasisi ya kimungu kweli ama ni institution like UN, IMF, WB and the alike ambayo imeundwa ili kufanikisha ajenda kadhaa za kiulimwengu.
Ni muda wa kukaa na kalamu na karatasi na kuandika kila kitu ambacho tumeanza kuwa suspicious katika kuuelekea ukweli.
Hata mimi nimeshtushwa na kitendo kilichofanywa na Trump siku kadhaa nyuma kutengeneza picha akiwa amevalia mavazi ya Kipapa na kuchapisha picha ile ulimwengu mzima waione kisha baada ya siku kadhaa tunapata Papa mwenye uraia wa Marekani.
Nawaza kwa kitendo kile na hiki kilichotokea ni coincidence au kuna kitu under the curtain ambacho wengi hatukifahamu.
 
Kinachonitia hofu zaidi ni media za Magharibi kufurahia sana.

Ila kwenye mafundisho ya msingi mtazamo wake mpaka sasa (kama hatabadilika) ni kupinga utoaji mimba, ndoa za jinsia moja, n.k.

Vyovyote itakavyokuwa, milango ya kuzima haitalishinda Kanisa la kweli lililoachwa na Kristu.
 
Aliyekamilika ni Mungu peke yake watu hudhani mitume na manabii ,zamani hawakuwa na dhambi mtizame hata Daudi tu kama case study ..... Wewe mwenyewe umekamilik?
Daudi hakuzini, biblia ina kawaida ya kumtukana Mungu na manabii wake,ndiyo manabii walifanya (musa aliua mtu japo ni kabla hajawa nabii)makosa lakini daudi hakuzini
 
Mmeanza kumpaka mavi kbala hata hajaingia ofcn umeshamtabiria mabaya na mambo ya ushoga hv africa tuna nn lkn
 
Ushaambiwa ndiye alikua mshauri mkuu WA papa Francis, Hata ajenda za ushoga alizokua alizitamka Kila mara, tunapaswa kuamini aliemshauri ni yeye.

Maana hakuwai kujiuzulu wadhfa wake (Kama mshauri mkuu) Wala kuzikemea Kwa cheo chake kingine (Kama kiongozi mkuu wa makardinari)
Kwenye ukatoliki kauli ya mkubwa wako ni amri
 
Kwahiyo kuna binadamu anaaminishwa kuwa kuwa zile kemikali ndani za Conclave zinamsikiliza Mungu na kutoa majibu yake huyo Mungu.. So pathetic.
Sasa haya maigizo na Jiwe la Israel, Asali ya Mwambani n.k za Kuhani Tapeli wa Kimara na Maji na Mafuta ya Upako ya Mjasiriamali Mwamposa yana tofauti gani?
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

utabiri wa ile edit ya trump hatimaye umetimia,,,,Connected successfull
 
Kitu usichokijua ni kama usiku wa giza. Huyu hakuwa mshauri mkuu.

Alikuwa anasimamia uchaguzi wa maaskofu dunia nzima.
Alijijengea marafiki wengi. Ndio maana alipata support.
Kwa jinsi kanisa lilivyo, muundo wake hauna mshauri mkuu wa Pope
Jamaa anaandika kitu asichokuwa na uhakika nacho.
 
Back
Top Bottom