PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Huyu lazima uraia wake uchunguzwe. Maana mtanzania hawezi kuongea hivyo.
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Duh, ama kweli una mengi tumegee ya kibiti
 
Alikuridhisha wewe tu. Nakuapia kwa jina Mungu. Hapo keshapata ni kinani kati ya ndugu zake wanaochukia serikali. Unajua kilele pori wewe. Unajua kiapo. Unajua hukuja kulala na pia chungulia pipa? Askari ambaye alipitia haya, hakutoka nanga na akaapa usije hata Siku moja ukaamini atageuka dola. Yeye ni chombo cha dola. Anafanya kazi za dola. Labda itokee wao ndio wachukue madaraka, siyo eti wampiganie mwanasiasa mwingine.
Kwani Libya wale waliomgeuka Ghaddafi hawakuwa wanajeshi waliokuwa chini ya Ghaddafi?

Ondoaujinga
 
Wote hawapendi nchi navyo enda
Tukisimama kwa wiki nzima bill kuogopa
Utaona mawaziri watajitokeza na kutuunga mkono

Wabunge watajiuzulu nakumtaka atoke

Tukiongeza nguvu zaidi Yule jamaa wa Bunda atasimamia ligi na kumtoa jamaa

Mungu ni Pendo
Aisee tuendelee kukaza buti huyu jamaa tutamng'oa tu
 
Nimetoka Instagram.

Mkuu wa Jeshi la Wananchi, Jenerali E. Mabeyo, kasema kuna viashiria vya uvunjifu amani, watashughulika na hao watu.

Hiyo ni siku moja baada ya ai ji pi Siro kusema jeshi lipo limejiandaa.

Nahisi itatangazwa hali ya hatari na sherehe za mapinduzi zitazuiwa kwa muda.
wanajitekenya na kucheka wenyewe
 
Mi namsubiria sheikh wangu! Sheikh Alhad Mussa!
 
Uhuru si zawadi tunayopewa na watawala bali ni haki ya asili ya kila mtu kwa sababu tuliumbwa nayo. NI HAKI YA ASILI!!!

Kiuhalisia tawala za kidunia mara nyingi hulenga katika kupora uhuru huo ili wawatawale watu kama wapendavyo. Lakini hivyo si sawa. Hata Mungu alipowaumba Adamu na Hawa aliwapa uhuru wa kutosha wa kufanya maamuzi na uchaguzi (Mwanzo mlango wa 1 na wa 2).

Ni ubaya na uovu pale tu uhuru huo unapotumika vibaya kwa lengo la kuingilia, kukandamiza na kuhatarisha uhuru na maisha ya wengine. Hii ndio sababu zipo katiba na sheria za nchi huru pamoja na maazimio ya kimataifa vinavyotungwa ili kulinda uhuru huo.

Uhuru wetu ni haki na kipawa cha asili tulichopewa na muumba wetu.
Ni wajibu wako kupambana na yeyote anayejaribu kukunyang'anya uhuru wako ambao ni haki yako ya asili.
Asante
 
Mnafiki Stephen Ismail Munga ..Mungu anajua tu hakika Mungu sio mwanadamu na ni wetu sote
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
ewa Hugo ndiye mwanaume ..sio yeye wapo wengi mnooo hata mimi Nina washikaji zangu wapo lugalo walimaind mnooo TLS alivyopigwa risasi
 
Back
Top Bottom