PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Hamtaamini naombeni tu muache hayo mawazo yenu, kama mnapenda kulala saa nane mchana haya endeleeni tu, tarehe hazipo mbali na hakuna kusubiri tarehe yenyewe!
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
acha uongo FFU ana siri gani
 
Nimetoka Instagram.

Mkuu wa Jeshi la Wananchi, Jenerali E. Mabeyo, kasema kuna viashiria vya uvunjifu amani, watashughulika na hao watu.

Hiyo ni siku moja baada ya ai ji pi Siro kusema jeshi lipo limejiandaa.

Nahisi itatangazwa hali ya hatari na sherehe za mapinduzi zitazuiwa kwa muda.
Sikh hizi jeshi linatoa taarifa Instagram? Au mange kasema?
 
Asante Baba Askofu Mungu akubariki sana.....achana na huyo pengo anayesubiri kuombea amani katikati ya vita wkt ameshiriki kupalilia utawala wa kidikteta
 
Polisi na wanajeshi wanatuangalia sisi tukionesha msimamo watajiunga nasi kuwatoa....
Tukiwa legeleg hawatatuunga mkono maana wataitwa wahaini

Mungu ni Pendo
Hakuna kitu kama hicho..... Futa kwenye akili yako
 
Siwezi Kumpongeza Askofu. Kwa nini sasa na si wakati uliopita? Kwa nini ayaone leo wakati yamekuwepo?

Tujihadhari na ajenda z siri. Huyu anajua anachokifanya. Tusisahau ya Rwanda na sasa Congo DRC inanyemelewa.
 
Wote hawapendi nchi navyo enda
Tukisimama kwa wiki nzima bill kuogopa
Utaona mawaziri watajitokeza na kutuunga mkono

Wabunge watajiuzulu nakumtaka atoke

Tukiongeza nguvu zaidi Yule jamaa wa Bunda atasimamia ligi na kumtoa jamaa

Mungu ni Pendo
yule ni wa Magu baba na ana bonge la hekalu huko kijijini ,ni mshkaji wake sana
 
Uhuru si zawadi tunayopewa na watawala bali ni haki ya asili ya kila mtu kwa sababu tuliumbwa nayo. NI HAKI YA ASILI!!!

Kiuhalisia tawala za kidunia mara nyingi hulenga katika kupora uhuru huo ili wawatawale watu kama wapendavyo. Lakini hivyo si sawa. Hata Mungu alipowaumba Adamu na Hawa aliwapa uhuru wa kutosha wa kufanya maamuzi na uchaguzi (Mwanzo mlango wa 1 na wa 2).

Ni ubaya na uovu pale tu uhuru huo unapotumika vibaya kwa lengo la kuingilia, kukandamiza na kuhatarisha uhuru na maisha ya wengine. Hii ndio sababu zipo katiba na sheria za nchi huru pamoja na maazimio ya kimataifa vinavyotungwa ili kulinda uhuru huo.

Uhuru wetu ni haki na kipawa cha asili tulichopewa na muumba wetu.
Ni wajibu wako kupambana na yeyote anayejaribu kukunyang'anya uhuru wako ambao ni haki yako ya asili.
Ahsante baba Askofu, kanisa kwa ujumla liko kimya lakini wewe tumekuwa tunakusikia ukikemea ujinga wa mtawala wa sasa
 
Hawa watu wa dini huwa ni watu muhimu sana katija jamii zetu ukiangalia kauli kama hizi unapata kitu chenye mashiko kabisa.. ..
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Tudokezee kidogo tu japo kwa muhitasali
 
Alikuridhisha wewe tu. Nakuapia kwa jina Mungu. Hapo keshapata ni kinani kati ya ndugu zake wanaochukia serikali. Unajua kilele pori wewe. Unajua kiapo. Unajua hukuja kulala na pia chungulia pipa? Askari ambaye alipitia haya, hakutoka nanga na akaapa usije hata Siku moja ukaamini atageuka dola. Yeye ni chombo cha dola. Anafanya kazi za dola. Labda itokee wao ndio wachukue madaraka, siyo eti wampiganie mwanasiasa mwingine.
Mkuu uwe unaelewa hapa hawapiganii wanasiasa wanaoyeswa na kunyanyasika si wanasiasa pekee wananchi wako hoi, hata hao hao polisi.wako hoi pia hawana amani, kumbuka polisi pamoja na viapo uchwara vyote wana damu, nyama na roho.
 
Back
Top Bottom