PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Akiona hali mbaya anaamia upande wa waandamaniji.
Alikuridhisha wewe tu. Nakuapia kwa jina Mungu. Hapo keshapata ni kinani kati ya ndugu zake wanaochukia serikali. Unajua kilele pori wewe. Unajua kiapo. Unajua hukuja kulala na pia chungulia pipa? Askari ambaye alipitia haya, hakutoka nanga na akaapa usije hata Siku moja ukaamini atageuka dola. Yeye ni chombo cha dola. Anafanya kazi za dola. Labda itokee wao ndio wachukue madaraka, siyo eti wampiganie mwanasiasa mwingine.
 
Hivi huyu mtu na kiburi chake anaona na kusikia kweli hii movement? Waliye naye huko chatto wawe wanamwambia ukweli na kama busara ipo ingawa na wasiwasi asirogwe kitumia nguvu amuige mwenzake Kenyatta don't attack unarmed people!
 
Nimetoka Instagram.

Mkuu wa Jeshi la Wananchi, Jenerali E. Mabeyo, kasema kuna viashiria vya uvunjifu amani, watashughulika na hao watu.

Hiyo ni siku moja baada ya ai ji pi Siro kusema jeshi lipo limejiandaa.

Nahisi itatangazwa hali ya hatari na sherehe za mapinduzi zitazuiwa kwa muda.
 
huyu ataundiwa tume, atachunguzwa mpaka ukoo wake, utasikia sio mtanzania ahame upesi.... kama namuona bwana lile linavyokunja ndita....
 
Tunashukuru sana baba Askofu, unatuongezea nguvu! Uhuru wa asili lazima tuupiganie!
 
Hii nchi inahitaji kupumua sasa....kila mtu anaona kakabwa. 26/4 taifa litacheua

Huu utawala umefanya watanzania sasa waamke, waandike upya historia ya taifa lao na waache kudharaulika kimataifa.
 
Na lilaaniwe tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya. Unaleta upuuzi kwenye mambo mazito!
unapoteza muda wewe hiyo laana ulishaipata wewe hahahaha
 
Alikuridhisha wewe tu. Nakuapia kwa jina Mungu. Hapo keshapata ni kinani kati ya ndugu zake wanaochukia serikali. Unajua kilele pori wewe. Unajua kiapo. Unajua hukuja kulala na pia chungulia pipa? Askari ambaye alipitia haya, hakutoka nanga na akaapa usije hata Siku moja ukaamini atageuka dola. Yeye ni chombo cha dola. Anafanya kazi za dola. Labda itokee wao ndio wachukue madaraka, siyo eti wampiganie mwanasiasa mwingine.
Hizo ni dharau za kupita mpaka mwanadamu mwenzio anayejitolea yhai wake kukulinda unamwita CHOMBO CHA DOLA?
 
Back
Top Bottom