PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Tuna katiba ya hovyo ni hakuna mfano, imechangia pakubwa kutufikisha hapa. Bila kuondokana nayo tutakuwa ktk hali mbaya zaidi hata ya ukoloni ulivyokuwa.
 
Asante baba askofu,tusikubali ujinga kuishi maisha ya hofu!
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Acha uongo FFU anasiri gani usione wote wajinga mzee,,,kuna watu wanasiri ila sio FFU au police wa kada ya chini wote wanastory za vijiweni tu ...
 
Magufuli anafanya mzaha na dharau zake kwa wengine ...hivi hawa Maaskofu ,Masheikh nk wakiamua kusimama madhabahuni kuwaeleza waumini wao haya anayosema Baba Askofu Munga kutatokea nini ?
 
Wajinga wanaweza kudharau jitihada za wanyonge kudai haki, kudai demokrasia lakini kuna siku watajua kuwa nguvu hii siyo ndogo hata kidogo.

1. Wanaharakati wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

2. Wapinzani wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

3. Maaskofu wakatoliki wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

4. Wananchi, mmoja mmoja, wapo wengi wanaoipinga serikali kwa ugandamizaji

5. Diaspora wengu wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

6. Wafanyabiashara walio wengi na wawekezaji wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

7. Baadhi ya viongozi wakuu wa makanisa kama Kakobe, wanaipinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

8. Polisi na wanajeshi, mmoja mmoja, wapo wengi wanapioinga serikali na Rais kwa ugandamizaji

9. Jamii ya kimataifa kama WB, UN wametamka wazi wanafuatilia matukio ya ukiukaji wa haki za binadamu Tanzania

10. Taasisi za kimataifa kama chama cha wanasheria wa Uingereza na Wales wametamka wazi kuilaani serikali ya Tanzania na Rais wake kwa ukiukaji wa haki za binadamu.

Ni lazima uwe mjinga sana kuwapuuza hawa wote na nguvu waliyo nayo.

JPM watch out! Do not be fooled by hungry mind supporters.
 
,.tunahitaji sana maaskofu kama hawa kuwatoa tongo watanzania waliojaa ujinga....
 
Huyu Bob Marley BWANA, STAND UP FIGHT FOR YOU'RE RIGHTS, mmh taratiibu KWA mbaali Kuna pambazuka
 
Asante baba askofu,tusikubali ujinga kuishi maisha ya hofu!
Hii kauli yake isije ikawa ya kumlisha maneno. Maana minesafu sana jana na leo sijaona alipoitisha waandishi wa habari ili atoe hiyo kauli yake pendwa kwa watanzania tuliokwisha pata uhuru tangu miaka 50 iliyopita. Labda yawezekana yakawa maneno ya fichochoroni ambavyo hata kwenye kanga yapo
 
Back
Top Bottom