hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,629
- 74,029
hahaaaaUtashangaa huyu askofu ataanza kusumbuliwa badala ya kuchukua ushauri wake na kuufanyia kazi, tatizo Jamaa anatuona watanzania wote hatuna akili yeye ndiye mwenye akili, angejua tunavyomdharau angeacha vitendo vyake