PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Utashangaa huyu askofu ataanza kusumbuliwa badala ya kuchukua ushauri wake na kuufanyia kazi, tatizo Jamaa anatuona watanzania wote hatuna akili yeye ndiye mwenye akili, angejua tunavyomdharau angeacha vitendo vyake
hahaaaa
 
Duuu!! Hizi unaziweza? Dhibiti hasira zako kwa kusikia usiyopenda.
This guy is like a rabid dog. Anang'ata hata majani mbele yake. Stress alizonazo huyu jamaa, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi tu.
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Weka hizo siri hapa mkuu.
Azory mzima?
 
"Uhuru wetu ni haki na kipawa cha asili tulichopewa na muumba wetu.
Ni wajibu wako kupambana na yeyote anayejaribu kukunyang'anya uhuru wako ambao ni haki yako ya asili."-Askofu
 
Uhuru wa kuingia uchi kanisani?
Halafu kuna kitu nimegundua.

Asilimia kubwa ya wale wanaCCM waliokuwa humu Jf wamekaa kimya hawatetei tena uovu. Kiufupi ni kwamba wameshindwa kuwa sehemu ya haya.

Haya, hii ndio aina ya watetezi waliobaki. Uozo mtupu!
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Shida moja kwenye hivi vyombo vyetu vya dola, wameingizwa malimbukeni wengi kutoka kanda ya ziwa, anakotokea mwenyewe.
 
Halafu kuna kitu nimegundua.

Asilimia kubwa ya wale wanaCCM waliokuwa humu Jf wamekaa kimya hawatetei tena uovu. Kiufupi ni kwamba wameshindwa kuwa sehemu ya haya.

Haya, hii ndio aina ya watetezi waliobaki. Uozo mtupu!
Endelea na hisia zako, hakuna anayekukataza.
 
Penye hofu watu hupinga hata kilicho haki yao sishangai kuona watu hata ukweli ambao hauhitaji mtu kufundishwa na mchungaji bado hofu kibaoooo
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Ilikuwaje Kwan...?
 
Baba askofu umeandika vyema, lakini pia waombee ili mungu awape wepesi wa kuyasikia na kuyatekeleza.
 
Back
Top Bottom