PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

PAMBANIENI UHURU; Ameandika Baba Askofu Steven Munga

Nimetoka Instagram.

Mkuu wa Jeshi la Wananchi, Jenerali E. Mabeyo, kasema kuna viashiria vya uvunjifu amani, watashughulika na hao watu.

Hiyo ni siku moja baada ya ai ji pi Siro kusema jeshi lipo limejiandaa.

Nahisi itatangazwa hali ya hatari na sherehe za mapinduzi zitazuiwa kwa muda.
Mabeyo nae anapost instagram?
 
Alikuridhisha wewe tu. Nakuapia kwa jina Mungu. Hapo keshapata ni kinani kati ya ndugu zake wanaochukia serikali. Unajua kilele pori wewe. Unajua kiapo. Unajua hukuja kulala na pia chungulia pipa? Askari ambaye alipitia haya, hakutoka nanga na akaapa usije hata Siku moja ukaamini atageuka dola. Yeye ni chombo cha dola. Anafanya kazi za dola. Labda itokee wao ndio wachukue madaraka, siyo eti wampiganie mwanasiasa mwingine.
Mzarau mwiba
e5bda70ebd9b0a2e2e0bfeccce4ef6a5.jpg
 
Huu moto ndyo umeanza kuwaka we subir. Wamewadharau watz vya kutosha

Juzi nlkuwa naongea na Binamu yangu yupo FFU. Anachukia hii serkali ile mbya. Anadai maandamano yakitokea na yeye atakuwa anasikilizia upepo. Maandamano yakikolea, yeye na washikaji zake wanaamia upande wa waandamaniji.

Na alinipa siri za yaliyokuwa yanatokea kibiti.
Mkuu huu utawala hata vyombo vya ulinzi hawaupendi ....huko jeshini ndo usiseme
 
Polisi na wanajeshi wanatuangalia sisi tukionesha msimamo watajiunga nasi kuwatoa....
Tukiwa legeleg hawatatuunga mkono maana wataitwa wahaini

Mungu ni Pendo
Upo sahihi 100%..mkuu huu utawala unachukiwa sana kwenye hizi sekta 2 za ulinzi hapa nchini
 
Uhuru si zawadi tunayopewa na watawala bali ni haki ya asili ya kila mtu kwa sababu tuliumbwa nayo. NI HAKI YA ASILI!!!

Kiuhalisia tawala za kidunia mara nyingi hulenga katika kupora uhuru huo ili wawatawale watu kama wapendavyo. Lakini hivyo si sawa. Hata Mungu alipowaumba Adamu na Hawa aliwapa uhuru wa kutosha wa kufanya maamuzi na uchaguzi (Mwanzo mlango wa 1 na wa 2).

Ni ubaya na uovu pale tu uhuru huo unapotumika vibaya kwa lengo la kuingilia, kukandamiza na kuhatarisha uhuru na maisha ya wengine. Hii ndio sababu zipo katiba na sheria za nchi huru pamoja na maazimio ya kimataifa vinavyotungwa ili kulinda uhuru huo.

Uhuru wetu ni haki na kipawa cha asili tulichopewa na muumba wetu.
Ni wajibu wako kupambana na yeyote anayejaribu kukunyang'anya uhuru wako ambao ni haki yako ya asili.
Lkn ktk uchaguzi huo aliowapa Adam na Hawa aliwazuia kula Tunda la mti wa katikati. Unajua inaanisha nini ktk ulimwengu Wetu?
 
Baba askofu tunamashaka na uraia wako,ni kama ni mrundi au mmalawi wewe ngoja waje wazee wa kutumwa
 
1.Rais ni mwongo maana aliongea tarehe 14/10/2017 kuwa kuna Watumishi wa Umma 59,000+ watapandishwa madaraja mwezi Novemba lakini hadi sasa hajapanda hata mmoja.

2.Rais alisema baada ya uhakiki kumalizika kutakuwa na maslahi bora kwa Watumishi wa Umma lakini hadi sasa wamepewa za uso.

Waandishi wa habari hizi hazifai kupamba kwenye front page maana sijawahi kuziona.

Kutoka hifadhi ya misitu ya Madihani
Mwanachama wa CCM.
Huyo ni tapeli tuuu
 
1.Rais ni mwongo maana aliongea tarehe 14/10/2017 kuwa kuna Watumishi wa Umma 59,000+ watapandishwa madaraja mwezi Novemba lakini hadi sasa hajapanda hata mmoja.

2.Rais alisema baada ya uhakiki kumalizika kutakuwa na maslahi bora kwa Watumishi wa Umma lakini hadi sasa wamepewa za uso.

Waandishi wa habari hizi hazifai kupamba kwenye front page maana sijawahi kuziona.

Kutoka hifadhi ya misitu ya Madihani
Mwanachama wa CCM.
Uhuru wa kuingia uchi kanisani?
 
"Huyu baba Askofu hana asili ya Malawi kweli"-yatakua ni maneno kwenye korido za ofisi flani flani hapa Mjini.
Ni wa malawi ninamfahamu nae tumewahi ishi nae chitipa malawi na tulikuwa nae machimboni mtepweshi msumbiji alijitambulisha yeye ni mmalawi.
 
Upo sahihi 100%..mkuu huu utawala unachukiwa sana kwenye hizi sekta 2 za ulinzi hapa nchini
Wote hawapendi nchi navyo enda
Tukisimama kwa wiki nzima bill kuogopa
Utaona mawaziri watajitokeza na kutuunga mkono

Wabunge watajiuzulu nakumtaka atoke

Tukiongeza nguvu zaidi Yule jamaa wa Bunda atasimamia ligi na kumtoa jamaa

Mungu ni Pendo
 
Back
Top Bottom