tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
Aende akaoe kwanza,,agano jipya hali zungumzii sheri wala namna ya kutawa,,na haina uhusiano na siasa yeye anataka kusema nini kuhusu uhuru??
Kanisa katoliki walikuwa ni maagent wa wakoloni kama missionary.walikuwa wanaruhusu viongozi wa ukoloni kunyonga babu zetu,kuwafunga na kuwafanyisha kazi kwa malipo madogo wao walikuwa wapi kuandika huu utumbo.
Kanisa katoliki walikuwa ni maagent wa wakoloni kama missionary.walikuwa wanaruhusu viongozi wa ukoloni kunyonga babu zetu,kuwafunga na kuwafanyisha kazi kwa malipo madogo wao walikuwa wapi kuandika huu utumbo.